Browsing Theses and Dissertations by Title
Now showing items 31073-31092 of 45591
-
n Vitro Antiploriferative Activity, Phytochemical Composition and Toxicity Studies of Fagaropsis Angolensis and Prunus Africana Crude Extracts
(University of Nairobi, 2017)Antiproliferative and Cytotoxicity screening models are the preliminary methods for selection of active plant extracts against cancer. Fagaropsis angolensis (FA) and Prunus africana (PA) have wide ranging ethno medicinal ... -
N-terminal Pro-brain Natriuretic Peptide and Highly Sensitive C-reactive Protein Level in Sickle Cell Disease Patients at Steady State
(University of Nairobi, 2020)Sickle cell disease is a non-communicable disease attracting global public health concern. Chronic effects of sustained hemolytic anemia drive the development of end-organ complications which include heart, brain, kidney, ... -
Nadir peripheral blood cell counts in patients on treatment for non-hodgkin's lymphoma and breast cancer with cyclophosphamide, doxorubicin, vincristine and predinsone (CHOP) and doxorubicine & cyclophosphmide (AC) respectively
(University of Nairobi, CHS, Kenya, 2005)Poor hematological status and development of sepsis due to temporary bone marrow failure are major contributing factors to treatment schedule interruptions and hence poor outcome in our set up. With this in mind, we set ... -
Nadir platelet counts in patients on doxorubicin and cyclophosphamide (ac); and cyclophosphamide, doxorubicin, vincristine and prednisone (chop) for breast cancer and non-hodgkin's lymphoma respectively
(University of NairobiSchool of Medicine, 2007)Background: Patients on chemotherapy suffer severe myelosuppression leading to poorer treatment outcome locally compared to economically advantaged countries. Effective and safe use of chemotherapy demands that febrile ... -
Nafasi na utambulisho wa mwanamke katika natala na kifo kisimani
(University of NairobiDepartment of Linguistics and Languages, 2013-10)Madhumuni katika utafiti wetu yalikuwa ni; kwanza kuchunguza taswira chanya ambazo mwandishi anaangazia kumhusu mwanamke katika Natala na Kifo Kisimani. Pia, tulichunguza changamoto zinazokabili mwanamke katika harakati ... -
Nafasi Ya Aina Za Matini Katika Kushawishi Mbinu Za Tafsiri: Tathmini Ya Mwanzo, Kutoka Na Zaburi Katika Biblia
(University of Nairobi, 2017)Suala la ulinganifu katika tafsiri si la kiwango cha maneno na sentensi pekee yake. Uelewa wa vipengele vingine vya ulinganifu kama vile aina za matini na rejesta una natija kwa mfasiri kwa kuwa humwezesha kubaini mbinu ... -
Nafasi ya Dini katika jamii ya kisasa kama ilivyosawiriwa katika Riwaya za Nguvu ya Sala, Walenisi na Babu alipofufuka
(University of Nairobi, 2005)Katika kazi hii tumezihakiki nwaya za Nguvu ya Sala (1995) ya K.W Wamitila, Walenisi (1998) ya K. vlkangi na Babu Alipofufuka (2003) ya SA. Mohamed. Tumeangalia jinsi waandishi hawa wamelishughulikia swaJa la dini na ... -
Nafasi Ya Dini Katika Ndoa: Tathmini Ya Utengano Na Paradiso
(University of Nairobi, 2011) -
Nafasi ya dini katika ndoa: Tathmini ya utenngano na paradiso
(University of Nairobi, Kenya, 2011)Utafiti huu umeshughulikia nafasi ya dini katika ndoa na vile uhusiano huu wa dini na ndoa unavyomwathiri mwanamke katika jamii. Sura ya kwanza ni tatizo la utafiti, madhumuni, nadharia tete, sababu za kuchagua mada, ... -
Nafasi ya mwanamke katika tenzi mbili za Shaban Robert : utenzi wa Hati na utenzi wa Adili
(University of Nairobi, CEES, Kenya, 2005)Tasnifu hii imeshughulikia nafasi ya mwanamke katika ushairi wa Shaaban Robert na imejikita katika tenzi zake mbili ambazo ni "Hati"na "Adili". Tasnifu hii ina sura nne. Kuna orodha ya vitabu vya marejeleo na kisha kiambatisho ... -
Nafasi ya mwanamke: Jinsi inavyotetewa katika nyimbo za taarab za zanzibar
(Idara Ya Isimu Na Lugha, 2013-06)Utafiti huu unahusu uchambuzi wa maudhui katika nyimbo za taarab za Kibiriti Upele na Tupendane Wabaya Waulizane.Nyimbo hizi ziliimbwa na Mwanaidi Shaaban na Mzee Yusuf. Kazi hii imegawanywa katika sura sita.Katika sura ... -
Nafasi ya tamthilia za kihistoria katika fasihi ya Kiswahili, Kinjeketile (E.Hussein) na Mzalendo Kimathi (Ngugi Na Mugo)
(University of Nairobi, Kenya, 2012)Utafiti huu umeshughulikia nafasi ya Tamthilia za kihistoria katika Fasihi ya Kiswahili hasa Kinjetekile na Mzalendo Kimathi. Katika sura ya kvvanza kima somo la utafiti, madhumuni, Nadharia Tete, sababu za kuichagua ... -
Nafasi Ya Ulinganifu Wa Kipragmatiki Katika Tafsiri Za Makala Za Mchezo Wa Kandanda Magazetini
(University of Nairobi, Kenya, 2010)Utafiti huu unahusu kubainisha nafasi ya ulinganifu wa kipragmatiki katika tafsiri ya makala za mchezo wa kandanda magazetini. Tasnifu hii imejengwa katika msingi unaochukulia kuwa ulinganifu wa maana katika tafsiri ya ... -
Nafasi Ya Utoupole Katika Kusababisha Mabadiliko Ya Kijamii: Uchanganuzi Wa Riwaya Ya Mtoto Wa Mama Ya Adam Shafi
(University of Nairobi, 2021)Upole na utoupole ni dhana za kimsingi sana katika mchakato mzima wa mawasiliano. Kufaulishwa na kudumishwa kwa mawasiliano hutegemea jinsi dhana hizi zinavyoshirikishwa katika mazungumzo. Wanapragmatiki wametambua kuwa ... -
Nafasi Ya Vijana Katika Riwaya Za Pendo La Karaha Na Kovu Moyoni
(University of Nairobi, 2016)Tumeangazia nafasi ya vijana katika riwaya za Pendo la Karaha na Kovu Moyoni za John Habwe. Hata hivyo ilitubidi kusoma riwaya nyinginezo za mwandishi huyu kama vile Hadaa ya Nafsi na Safari ya Lamu ili tupate ufahamu ... -
Nafasi Ya Vijana Katika Riwaya Za Pendo La Karaha Na Kovu Moyoni
(University of Nairobi, 2016)Tumeangazia nafasi ya vijana katika riwaya za Pendo la Karaha na Kovu Moyoni za John Habwe. Hata hivyo ilitubidi kusoma riwaya nyinginezo za mwandishi huyu kama vile Hadaa ya Nafsi na Safari ya Lamu ili tupate ufahamu ... -
Nafasi Ya Wanawai Katika Uhifadhi Wa Mazinglra Katika Riwaya Ya Nakuruto- Mtazamo Wa Fasihi Ya Ufeministi Wa Kiekolojia
(University of Nairobi, 2014)Fasihi ya kiekolojia ru uwanja uliochipuka miaka ya 1970 na kuendelea rniaka ya 1990 kuchanganua, kuchambua na kuhakiki kazi za kifasihi. Uwanja huu unalenga kuangazia fani na maudhui katika matawi ya fasihi kiekolojia ... -
Nafasi ya wanawake katika uhifadhi wa mazingira katika riwaya ya Nakuruto : mtazamo wa fasihi ya ufeministi wa kiekolojia
(University of Nairobi, 2014)Fasihi ya kiekolojia ni uwanja uliochipuka miaka ya 1970 na kuendelea miaka ya 1990 kuchanganua, kuchambua na kuhakiki kazi za kifasihi. Uwanja huu unalenga kuangazia fani na maudhui katika matawi ya fasihi kiekolojia ... -
Nairobi city county women’s attitudes towards the representation of their interests by women members of parliament
(2015)This study set out to explore women’s attitudes towards the representation of their interests by women Members of Parliament (MPs) in Nairobi City County. The basic question that the study sought an answer to was, “To ... -
Nairobi District African Congress, A study in Nairobi politics
(University of Nairobi.Faculty of Arts, 1978-03)