Musyoki, Caroline N (University Of Nairobi, 2016)
Tumeangazia Ubaguzi katika riwaya ya Mhanga Nafsi Yangu ya Said.A Mohamed. Tulichagua mada ya ubaguzi katika riwaya kwa sababu swala hili linatokea katika riwaya nzima ya Mhanga Nafsi yangu, na ni wajibu wetu kuwahamasisha ...