Ruto, Monica C (University of Nairobi, 2015)
Kazi hii inashughulikia matatizo yanayomkabili mwanamke katika Nyuso za
Mwanamke (2010) ya Said A Mohammed na Kidagaa Kimemwozea (2012) ya
Ken Walibora na athari zake kwa jamii .Tuliangalia matatizo ya wanawake na
athari ...