Browsing Faculty of Arts & Social Sciences (FoA&SS / FoL / FBM) by Title
Now showing items 2879-2898 of 2947
-
Ukiushi Katika Lugha Ya Kimaongezi Dhidi Yakanuni Za Kiswahili Sanifu
(University of Nairobi, 1991)Utafiti huu umetokana na imani ~wa~ba ukiushi katika lugha ya kireaongezi ni tukio halisi na dhahiri katika matumizi ya lugha yo yote ile. (Taz. Max Black, 1968). Kuifahamu lugha na kuielewa kikamilifu kunahusu pia ... -
Ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika mkamandume
(University of Nairobi, 2015)Tasnifu hii imeshughulikia suala la ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika Mkamandume ya S. A. Mohamed. Lengo la utafiti huu lilikuwa kuchanganua hali ya kisiasa na kiuchumi katika Visiwa vya Zanzibar na Pemba na kutathmini ... -
Ukombozi Wa Mwanamke Katika Riwaya Za Habwe
(University of Nairobi, 2011)Katika utafiti huu wa ukombozi wa mwanamke, tumeona kwamba ukombozi wa mwanamke unamtegemea mwanamke mwenyewe. Mwanamke anafaa kuchukua mstari wa mbele ili kupigania haki zake za kijamii kama njia ya kupinga ugandamizw ... -
Ukuaji Wa Muundo Na Mawazo Katlka Tamthilia Za Timothy Arege Mtazamo Wa Umuundo
(University of Nairobi, 2013)Utafiti huu umechunguza ukuaji wa muundo na mawazo katika tamthilia za Timothy Arege. Tamthilia zilizoteuliwa kuhakikiwa ni tatu. Nazo ni: Chamchela (2007), Kijiba cha Moyo(2009) na Mstahiki Meya (201 1) Sura ya kwanza ... -
Ulumbilugha Na Athari Zake Katika Uandishi Wa Insha Za Shule Za Msingi Ya Cghu Na Moi Avenue; Kifani Cha Sheng Na Kiingereza Kwa Kiswahili
(University of Nairobi, 2022)Utafiti huu ulinuia kuchunguza athari za ulumbilugha kwa Kiswahili. Tasnifu hii imegawanywa kwa sura tano. Katika sura ya kwanza tulishughulikia utangulizi wa kazi hii kwa ujumla kwa kuangazia tatizo la utafiti, maswali ... -
The Unaccompanied Children Refugees: a Case of Dadaab Refugee Camp in Garissa County, Kenya, 1991-2017
(University of Nairobi, 2022)The study examined the unaccompanied refugee children in Daadab Refugee Camp in Garissa County, Kenya, from 1991-2017. Since 1991, the number of unaccompanied children has increased considerably in refugee and IDP camps ... -
Universal Service in Telecommunication in a Liberalising Environment With Reference to Kenya
(University of Nairobi, 2005)Telecommunication policy is always a balance between economic growth and social justice. Universal service is generally concerned with the latter, which underlines the ability to pay and equity in its objectives of ... -
The Unsung Hero: Biography of Boniface Mganga
(University of Nairobi, 2021)Boniface Mganga was an accomplished musician, composer, arranger, organist, founder and consummate director of the world famed Muungano National Choir. In addition to his artistic contributions, Boniface Mganga demonstrated ... -
Upanuzi Na Ubanaji Wa Maana Katika Kandanda: Ulinganisho Na Ulinganuzi Nchini Kenya Na Tanzania
(University of Nairobi, 2023)Utafiti huu unahusu upanuzi na ubanaji wa maana katika kadanda nchini Kenya na Tanzania. Tumebainisha kwa kulinganisha na kulinganua namna lugha ya Kiswahili inavyotumika katika utangazaji wa kandanda nchini Kenya na ... -
Upembezwaji Wa Mwanamke Kama Udokezi Wa Nafasi Ya Mwanamke Katika Utenzi Wa Fatuma
(university of Nairobi, 2011)Tasnifu hii imeshughulikia upembezwaji wa mwanamke kama udokezi wa nafasi ya mwanamke katika Utenzi wa Fatuma. Kazi imegawika katika sura tano. Katika sura ya kwanza, tumeshughulikia maswala ya kimsingi yanayojenga ... -
Urban Logistics Practices and Delivery Performance of Fast Food Outlets in Nairobi County
(University of Nairobi, 2022)The research intended to look into the stimulus of urban logistics practices on the delivery of goods in Nairobi County, Kenya, using transactional cost theory and network theory as the foundation. A cross-sectional research ... -
Urban-rural Differentials of Neonatal Mortality in Kenya
(University of Nairobi, 2021)Child survival is a key element to measure a country‘s developmental level in addition to help track and monitor progress made in achieving the 2030 Agenda. According to the publication on the child Mortality trends and ... -
Urejelezi Katika Gazeti La Taifa Leo: Mtazamo Wa Kipragmatiki
(University of Nairobi, 2021)Tasnifu hii ililenga kubainisha aina za urejelezi katika gazeti la Taifa Leo na jinsi zinavyochangia kuleta mshikamano katika matini. Utafiti huu ulikuwa na malengo matatu: kubainisha aina za urejelezi katika gazeti la ... -
Urudiaji Na Uwasilishaji Wa Maana Katika Ushairi Wa Kisasa
(University of Nairobi, 2017)Tasnifuhii imeshughulikia urudiaji na uwasilishaji wa maana katika diwani ya Dhifa na Vifaru Weusi. Tumeangazia mambo yafuatayo: usuli, suala la utafiti, malengo ya utafiti, maswali ya utafiti,sababu za kuchagua mada, ... -
Usasa Katika Ushairi Wa Kithaka Wa Mberia: Uchanganuzi Wa Maudhui Na Mtindo
(University of Nairobi, 2020)Themes and style are two inseparable aspects in a literary work. This research mainly focuses on modernity of themes as enabled by the unique style in Kithaka wa Mberia’s poetry. The objectives of this study are: to ... -
Usawiri Wa Wahuslka Wa Klke Ka Tlka Tamthilia Za Natala Na Mama Ee
(University of Nairobi, 2012)Utafiti huu ulishugulikia usawini wa wahusika wa kike katika tamthilia za natala na Mama ee kwa kutumia nadharia ya ufeministi. Madhumuni ua utafiti huu yalikuwa; Kuchunguza jinsi watunzi walivyowasawiri wahusika wa kike ... -
Usawiri Wa Watoto Katlka Hadithi Za Mwepesi Wa Kusaha Unalikizo Ya Mkosi
(University of Nairobi, 2015)Mada ya utafiti huu ilikuwa kuchunguza usawiri wa watoto katika hadithi za Mwepesi vva Kusahau na Likizo ya Mkosi. Hadithi hizi za watoto zimejikita katika fasihi ya watoto. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kubainisha ... -
Use of Alternative Dispute Resolution to Settle Conflicts From Infrastructural Development Activities: a Case Study of Standard Gauge Railway Project in Nairobi National Park
(University of Nairobi, 2019)This work looks at the consequences of litigation and alternative dispute resolution to settle conflicts from development activities that impact environmental conservation. Conflicts emerging from implementation of ... -
Use of Contraceptives Among Adolescents and Their Effects in Preventing Pregnancy: a Case of Kawangware Slum Area in Nairobi City County
(University of Nairobi, 2019)The study sought to investigate the use of contraceptives and its effect on adolescent pregnancy among poor urban communities. In so doing, the study was guided by five objectives; to establish the prevalence of pregnancy ... -
Use of force under thle United Nations Charter with specific Reference to the Right of Self-defence
(University of Nairobi, 2006)