Search
Now showing items 41-50 of 646
Ukuaji Wa Muundo Na Mawazo Katlka Tamthilia Za Timothy Arege Mtazamo Wa Umuundo
(University of Nairobi, 2013)
Utafiti huu umechunguza ukuaji wa muundo na mawazo katika tamthilia za Timothy
Arege. Tamthilia zilizoteuliwa kuhakikiwa ni tatu. Nazo ni: Chamchela (2007), Kijiba
cha Moyo(2009) na Mstahiki Meya (201 1)
Sura ya kwanza ...
Utohozi Wa Msamiati Kutoka Kisw Ahili Hadi Ekegusii
(University of Nairobi, 2016)
Utafiti huu una lengo la kuweka wazi usayansi uliopo katika istilahi zilizotoholewa kutoka
Kiswahili hadi Ekegusii. Utafiti huu umetumia nadharia ya ukopaji uhamisho na N.I.K. katika
ufafanuzi wa kazi hii. Vile vile ...
Footwear Design as an Intervention to Alleviate Post Long-distance Running Induced Fatigue
(University of Nairobi, 2021)
Besides being one of the most participated in leisure sports activities, running is also the cheapest and most accessible, organized sport in the world. More and more people in the last decade have taken up the sport or ...
The Aesthetics of Crime Fiction in Kenyan Film: an Examination of the Paradox of Painful Art in Nairobi Half Life and the Kitchen Toto
(University of Nairobi, 2021)
This study analyses two films: Nairobi Half Life and The Kitchen Toto, with a view to establishing why people would enjoy watching a film full of criminal activities, and which elicit pain when they avoid painful situations ...
Incorporating Biophilic Design in Modern Apartments Spaces in Kileleshwa.
(University of Nairobi, 2021)
Urbanization in Kenya is growing at an extra ordinary rate. Construction has become two-fold and Nairobi has expanded to additional counties as a metropolitan city. Exclusive estates like Kileleshwa, Kilimani, Lavington ...
Uyakinifu Wa Maudhui Makuu Katika Utenzi Wa Abdirrahmani Na Sufiyani
(University of Nairobi, 2017)
Tasnifu hii imeshughulikia uchambuzi wa maudhui makuu katika Utenzi wa
Abdirrahmani na Sufiyani kwa kusoma utenzi wenyewe na kudondoa yale masuala
mazito yenye uyakinifu katika maisha ya jamii. Tumeongozwa na nadharia ...
Mada: Ukuzaji Wa Kiswahili
(University of Nairobi, 1988)
Matumizi Ya Taswira Kama Klgezo Cha Kufanikisha Maudhui Katlka Utendi Wa Siiraji Uliyotungwa Na Muhammad I Kijumwa
(University of Nairobi, 2012)
Somo letu la utafiti linashughulikia matumizi ya taswira kama kigezo cha kufanikisha
maudhui katika Utendi wa Siiraji.
Utafiti wetu unanuia kuchunguza kigezo cha taswira na umuhimu wake katika
kufanya maudhui ya mtunzi ...
Taswira Dumifu Za Uana Katika Fasihi Ya Kiswahili Ya Watoto
(University of Nairobi, 2007)
Lengo kuu la utafiti huu limekuwa ni kubainisha Jll1Sl taswira durnifu za uana
zinavyojitokeza katika fasihi ya Kiswahili ya watoto.
Nadharia tete tatu zilizoongoza utafiti huu ni: Mosi, taswira dumifu za uana ...
Mitazamo Ya Vijana Na Wazee Kuhusu Ukombozi Wa Mwanamke Katika Tamthilia Tatu Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2007)
Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni kushughulikia swala la mitazamo ya vijana na
wazee kuhusu ukombozi wa mwanamke katika tamthilia tatu za Kiswahili. Tamthilia
zilizoteuliwa ni: Kitumbua kimeingia mchanga (2000) S. ...