Faculty of Arts & Social Sciences, Law, Business Mgt (FoA&SS / FoL / FBM): Recent submissions
Now showing items 501-520 of 24487
-
Strategic Marketing Responses of Multinationals in Kenya: a Case Study of Eastman Kodak Company
(University of Nairobi, 2007)Photographic industry has over the years been known to be one of the lucrative ventures especially in the local market. This has been facilitated by the fact that it requires heavy capital investment and a skillful art ... -
Mchango Wa Sitiari Za Kiswahili Katika Kauli Za Kichochezi Kwenye Diskosi Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulichunguza jinsi sitiari za Kiswahili hujitokeza katika kauli za wanasiasa na jinsi wanasiasa huweza kuzitumia kueneza kauli za kichochezi nchini Kenya. Vile vile, jinsi lugha ya Kiswahili ijapokuwa ni lugha ... -
Uhalisiajabu unavyojitokeza katlka ukawafi wa Miiraji na utenzi wa Fumo Liyongo
(University of Nairobi, 2016)Utafiti huu ulikusudia kuonyesha sifa za kiuhalisiajabu kama zinavyojitokeza katika Ukawafi wa Miiraji na Utenzi wa Fumo Liyongo. Tulifanyanya hivyo kwa kuwarejelea baadhi ya wahusika na mandhari kama yalivyosawiriwa ... -
Uhakiki wa fani katlka Tamthilia za K.W.Wamitila.
(University of Nairobi, 2005)Tasnifu hii ni uhakiki wa fani katika tamthilia za Kiswahili ambazo zimetungwa na Warnitila, K.W. Tamthilia hizi ni Wingu La Kupita (1999) na Pango (2003). Katika tahakiki yetu, tumeteua na kujadili vipengele maalum vya ... -
Nafasi ya Dini katika jamii ya kisasa kama ilivyosawiriwa katika Riwaya za Nguvu ya Sala, Walenisi na Babu alipofufuka
(University of Nairobi, 2005)Katika kazi hii tumezihakiki nwaya za Nguvu ya Sala (1995) ya K.W Wamitila, Walenisi (1998) ya K. vlkangi na Babu Alipofufuka (2003) ya SA. Mohamed. Tumeangalia jinsi waandishi hawa wamelishughulikia swaJa la dini na ... -
Maudhui ya kiukombozi katlka Diwani ya Jicho la Ndani iliyoandikwa na Said A. Mohamed
(University of Nairobi, 2015)Katika tasnifu hii tumetathmini maudhui ya kiukombozi katika diwani ya Jicha fa Ndani. iliyoandikwa na Said A. Mohamed (2002). Utafiti umeonyesha kwamba Said A. Mohamed amezingatia sana maudhui haya ya kiukombozi katika ... -
Mada : Katama Mkangi: Mwandishi chipukizi anayeng'ang'ania nafasi katika uwanja wa Fasihi?
(University of Nairobi, 1986) -
Dhuluma dhidi ya vijana wa kike katlka Riwaya za Rosa Mistlka na Tumaini
(University of Nairobi, 2012)Utafiti huu unashughulikia swala la dhuluma dhidi ya vijana wa kike katika nwaya za E.Kezilahabi, Rosa Mistika (1971) na C. Momanyi, Tumaini (2006) . Uchanganuzi huu umegawanywa katika sura tano. Sura ya kwanza inahusu ... -
Mada: "Mofofonolo]ia ya Kiswahili Sanifu na Kikikuyu Sanifu; Mathalani Kikikljyu cha Kabete: Ulinganishi"
(University of Nairobi, 1992) -
Matumizi ya Istiari, Tashbiha na Taashlra katlka Diwani ya Sauti ya Dhiki
(University of Nairobi, 2014)Katika tasnifu hii tumeonyesha matumizi ya tamathali tatu za ulinganisho ambazo ni istiari, tashbiha na taashira katika diwani ya Sauti ya Dhiki iliyoandikwa na Abdilatif Abdalla (1973). Utafiti umeonyesha kwamba Abdilatif ... -
Tamthilia za Kiukombozi: Taswira ya Mwafrika katika vita vya Ukombozl dhidi ya Ukoloni
(University of Nairobi, 1990)Kazi hii Lnahakiki, maudhui ya kiukCi.mbozikatika tamthilia tatu ambazo ni Mukwawa wa Uhehe, Kinjeketile, na Mzalendo Kimathi. Tasnifu hii i~iki taswira ya Mwafrika katika vita vya ukombozi dhidi ya ukoloni katika ... -
Kanuni za upole kwenye vipindi, "Jambo Kenya" na "Chapa Kazi" vya Redio Citizen.
(University of Nairobi, 2017)Upole husaidia katika kudumisha mahusiano merna katika mazungumzo. Upole vile vile husaidia katika kuhakikisha kuwa wazungumzaji wanaingiliana vyema katika mazungumzo yao. Wazungumzaji huweza kufahamu kuwa wanatumia ... -
Makosa yanayofanywa na baadhi ya Wanandi katika matumizi ya Kiswahili
(University of Nairobi, 1993) -
Uhakiki Wa Kifani Katika Utenzi Wa Siri Li Asirali Na Utenzi Wa Mwana Fatuma
(University of Nairobi, 2005)Kazi hii tumeibawibu katika sura nne. Katika sura ya kwanza tumeangazia tatizo letu la utafiti, sababu za kulichagua somo hili, madhumuni yetu, na nadharia tete zinazotuongoza. Vilevile katika sura hii tumeeleza yaliyoandikwa ... -
Uchanganuzi Wa Maendeleo Va Kisemantiki Katika Sheng: Mtazamo Wa Pragmatiki Leksika.
(University of Nairobi, 2011)Katika utafiti huu tulinuia kuchanganua maendeleo ya kisemantiki katika Sheng tukiongozwa na nadharia ya pragmatiki leksika ya Blutner (1990). IIi kufikia malengo hayo, sura ya kwanza imeshughulikia utangulizi kwa ujumla. ... -
Usimulizi Katika Utenzi Wa Siri Li Asirali
(University of Nairobi, 2011)Utafiti huu unachunguza usimulizi katika Utenzi wa Siri Li Asirali. Utafiti ulitumia nadharia ya . naratolojia. Tulitaka kuchunguza matwnizi ya usimulizi katika ushairi kama ilivyo katika bunilizi kama nwaya. Kazi hii ... -
Uchanganuzi Wa Matini Teule Ya Nyimbo Za Foustine Munishi: Mtazamo Wa Nadharia Ya Upole
(University of Nairobi, 2011)Utafiti huu ulishughulikia uchanganuzi wa matini teule ya nyimbo za Foustine Munishimtazamo wa nadharia ya upole ya Brown na Levinson (1987) has a kipengele cha mikakati ya kuokoa uso. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ... -
Uchambuzi Wa Tamathali Za Usemi Pamoja Na Mbinu Nyingine Za Matumizi Ya Lugha Katika Utenzi Wa Mikidadi Na Mayasa
(University of Nairobi, 2012)Utafiti huu unahusu uchambuzi wa tamathali za usemi na mbinu nyengine za matumizi ya lugha katika Utenzi wa Mikidadi na Mayasa na Said Abdalla Masudi el Buhry el Hinawy. Kazi hii imegawanywa katika sura nne. Katika sura ... -
Mifichamo Katlka Mashairi Ya Mrisho Mpoto: Nikipata Nauli Sizonje
(University of Nairobi, 2018)Utafiti huu ulipania kuchunguza mifichamo katika mashiri mawili teule ya Mrisho Mpoto ya Nikipata Nauli na Sizonje. Kwa kutumia maoni ya Grice (1975) kuhusu kanuni za utaratibu wa ushirikiano wa kimazungumzo tuliaangaliajinsi ... -
Dhana Ya Ulinganifu Katika Tafsiri Ya Fasihi Tathmini Ya Usaliti Mjini
(University of Nairobi, 2009)Tasnifu hii inashughulikia tafsiri ya kazi ya kifasihi iliyotafsiriwa kutoka kiingereza hadi kiswahili. Tumetumia matini za Betraval in the Citv (1976) 11<1 Usaltti Mjini (1994). Utafiti wetu umechunguza jinsi dhana ya ...