• Login
    View Item 
    •   Repository Home
    • Theses and Dissertations
    • -College of Humanities and Social Sciences (CHSS)
    • View Item
    •   Repository Home
    • Theses and Dissertations
    • -College of Humanities and Social Sciences (CHSS)
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Nafasi ya dini katika jamii ya kisasa kama ilivyosawiriwa katika riwa ya za nguvu ya sala, walenisi na babu alipofufuka

    Thumbnail
    View/Open
    Abstract (708.6Kb)
    Date
    2005
    Author
    Karanja, Eddah W
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Katika kazi hii tumezihakiki riwaya za Nguvu ya Sala (i995) ya K. W Warnitila, U/aie171si (1998) ya K. Mkangi na Babu Alipofufuka (2003) ya S.A. Mohamed. Tumeangalia jinsi waandishi hawa wamelishughulilcia swala la dini na kuonyesha nafasi yake katika jamii ya kisasa. Uhakiki huu umegawanywa katika sura tano. Katika sura ya kwanza turneelezea sorno la utafiti, madhurnuni, sababu za kulichagua sorno hili, mipaka na upeo na yaliyoandikwa kuhusu swala la dim. Aidha tumeelezea misingi ya kinadharia iliyoturniwa katika utafiti huu. Pia turneelezea njia tulizozitumia katika utafiti wetu. Katika sura ya pili, turneangalia jinsi dini ilivyosawiriwa katika riwaya ya Nguvu ya Sala. Tumeonyesha jinsi athari mbalirnbali za dini zilivyojitokeza katika riwaya hasa katika kizazi kipya. Turneonyesha jinsi wakati mwingine utarnaduni wa wanajamii unavyopata ushindi ukilinganishwa na dini. Katika sura ya tatu, tumeshughulikia dini katika riwaya ya Walenisi. Hapa turneonyesha jinsi dim ilivyoturniwa na inavyotumiwa kuwalainisha na kuwadhulurnu watu na kuwajaza kasurnba ya rnaisha merna ya baadaye huko Peponi huku wakiteseka duniani. Katika sura ya nne, turnechunguza dini katika riwaya ya Babu Alipofufuka ambapo tumeonyesha jinsi ukengeushi unavyoweza kuwafanya wakwasi waidharau dini kiasi cha kujitoshanisha na miungu Sura ya tano ni hitimisho na mapendekezo.
    URI
    http://erepository.uonbi.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/18284
    Collections
    • -College of Humanities and Social Sciences (CHSS) [21630]

    UoN Digital Archive copyright © 2002-2015  Library Department
    Contact Us | Send Feedback
     

     

    Browse

    All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Statistics

    Most Popular ItemsStatistics by CountryMost Popular Authors

    UoN Digital Archive copyright © 2002-2015  Library Department
    Contact Us | Send Feedback