dc.contributor.author | Munyao, Rose, M | |
dc.date.accessioned | 2017-12-14T12:13:46Z | |
dc.date.available | 2017-12-14T12:13:46Z | |
dc.date.issued | 2017 | |
dc.identifier.uri | http://hdl.handle.net/11295/101937 | |
dc.description.abstract | Tasnifu hii inahusu mwingiliano wa fasihi na historia katika Utenzi wa Nchuu Cwavo
Yapo Tini Mwa Irara wa Abubaker M.B. Khuchi. Kazi hii ilikuwa na malengo
mahususi matatu; kwanza, kuhakiki mchango wa historia katika kufumbata dhamira
ya mwandishi wa Utenzi wa Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwa Irara. Pili, kuchanganua
kwa kina maudhui kama kipengele cha fasihi katika Utenzi wa Nchuu Cwavo Yapo
Tini Mwa Irara na mwisho kutathmini mchango wa mandhari katika Utenzi wa
Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwa Irara. Tuliongozwa na nadharia ya uhalisia wa kijamaa
katika kuchanganua kazi hii. Tumefanya uchanganuzi wa maudhui kama kipengele
cha fasihi kwa kina. Aidha, tumechanganua mchango wa mandhari katika Utenzi wa
Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwa Irara na kubaini kuwa kazi hii imejengwa katika
mandhari halisi inayofahamika na wanajamii. Vilevile, tumechunguza jinsi historia na
fasihi zinavyoingiliana na kutegemeana kwa ujumla kabla ya kujibu swali letu la
utafiti la mwingiliano wa fasihi na historia katika Utenzi wa Nchuu Cwavo Yapo Tini
Mwa Irara. Matokeo ya utafiti huu yamedhihirisha kuwa mtunzi wa Utenzi wa Nchuu
Cwavo Yapo Tini Mwa Irara ameathiriwa na historia ya jamii yake kwa kiwango
kikubwa. | en_US |
dc.language.iso | other | en_US |
dc.publisher | University of Nairobi | en_US |
dc.rights | Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States | * |
dc.rights.uri | http://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/ | * |
dc.subject | Mwingiliano Wa Fasihi Na Historia Katika Utenzi Wa Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwa Irara (Mtu Ni Kwao Japo Chini Mwa Irara) | en_US |
dc.title | Mwingiliano Wa Fasihi Na Historia Katika Utenzi Wa Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwa Irara (Mtu Ni Kwao Japo Chini Mwa Irara) | en_US |
dc.type | Thesis | en_US |