Show simple item record

dc.contributor.authorMbuthia, E.M.
dc.date.accessioned2018-07-12T07:25:45Z
dc.date.available2018-07-12T07:25:45Z
dc.date.issued1991
dc.identifier.urihttp://hdl.handle.net/11295/103470
dc.description.abstractMada yetu ina sura nne, ambazo zinaingilia mambo mbali mbali~katika sura ya kwanza, tunajishughulisha na methodolojia ambayo tuliitumia katika utafiti wetu. Katika sura hii hii tumeeleza nadharia tuliyoiteua, udurusu wa vitabu, haipothesia na kadhalika. Katika sura ya pili tumejishughulisha na Malenga wa Vumba(1982), ambapo tumeingilia maudhui mbali mbali, ambayo yamejadiliwa katika diwani hiyo. Katika sura ya Tatu tumeingilia riwaya ya Zablbu Chungu(1985) na kuchunguza maudhui pamoja na wahusika. Na mwisho katika Sura ya nne, tumehitimisha kazi yetu kwa kuchunguza picha jumlishi ya mwandishi, kama inavyojitokeza katika maandishi tuliyoyataja.en_US
dc.language.isootheren_US
dc.publisherUniversity of Nairobien_US
dc.rightsAttribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States*
dc.rights.urihttp://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/*
dc.titleUchunguzi"Wamaandishi ya Boukheit Amana (Mti-Mle)en_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail
Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States
Except where otherwise noted, this item's license is described as Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States