Show simple item record

dc.contributor.authorObure, Elijah M
dc.date.accessioned2013-02-26T08:00:31Z
dc.date.available2013-02-26T08:00:31Z
dc.date.issued2012
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/11525
dc.description.abstractUtafiti huu unashughulikia swala la dhuluma dhidi ya vijana wa kike katika nwaya za E.Kezilahabi, Rosa Mistika (1971) na C. Momanyi, Tumaini (2006) . Uchanganuzi huu umegawanywa katika sura tano. Sura ya kwanza inasusu utangulizi wa utafiti. Katika sura ya pili tunachunguza na kuchanganua aina za dhuluma dhidi ya vijana wa kike na athari zake katika riwaya ya Rosa Mistika (1971). Katika sura ya tatu tunachanganua dhuluma dhidi ya vijana wa kike na athari zake katika riwaya ya C. Momanyi, Tumaini (2006). Sura ya nne inashughulikia vipengele vya mitazamo ya waandishi hawa wawili wa kiume na wa kike. Sura ya tano ni muhtasari na mapendekezo ya utafiti.en_US
dc.language.isoen_USen_US
dc.publisherUniversity of Nairobi, Kenyaen_US
dc.titleDhuluma dhidi ya vijana wa kike katika Riwaya za Rosa Mistika na Tumainien_US
dc.title.alternativeThesis (MA)en_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

FilesSizeFormatView

There are no files associated with this item.

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record