Show simple item record

dc.contributor.authorMulila, Josphine L.
dc.date.accessioned2021-09-07T08:55:49Z
dc.date.available2021-09-07T08:55:49Z
dc.date.issued2009-07
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/155439
dc.description.abstractTasnifu hii inahusu usawiri chanya wa wahusika wanawake katika tamthilia za Zilizala na Chamchela. Sura ya Kwanza, mambo muhimu yaliyojadiliwa ni; Utangulizi, Tatizo la Utafiti, Madhumuni ya utafiti, Nadharia Tete, sababu za kuchagua mada, Upeo na mipaka ya tasnifu, Msingi wa nadharia na yaliyoandikwa kuhusu mada. Sura ya pili imeangazia misingi tofauti ya usawiri hasi ambao umekuweko kurnhusu mwanamke. Misingi hii ni pamojana Fasihi Simulizi, Tenzi, Riwaya, Tamthilia, Hadithi fupi na Jamii sasa. Katika Sura ya tatu, usawiri chanya wa rnhusika mwanawake umejadiliwa kwa mujibu wa tamthilia zilizochaguliwa. Aidha, sababu za waandishi kuwapa wanawake usawiri chanya pamoja na mchango wa wanawake kwa usawiri wao chanya ni mambo mengine muhimu yaliojadiliwa. Mchango hasi na chanya wa wahusika wanaume kwa usawiri chanya wa wanawake umejadiliwa kwenye sura ya nne. Sura ya tano ni hitimisho pamoja na mapendekezo kuhusu tafiti za baadaye. Kwa ujumla, matokeo ya utafiti yametolewa katika sura hii.en_US
dc.language.isoenen_US
dc.publisherUniversity of Nairobien_US
dc.rightsAttribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States*
dc.rights.urihttp://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/*
dc.titleUsawiri Chanya Wa Wahusika Wanawake Katika Tamthilia Za Zilizala Na Chamchelaen_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail
Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States
Except where otherwise noted, this item's license is described as Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States