dc.contributor.author | Likhako, Pamela I | |
dc.date.accessioned | 2021-09-08T05:41:53Z | |
dc.date.available | 2021-09-08T05:41:53Z | |
dc.date.issued | 1991 | |
dc.identifier.uri | http://erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/155445 | |
dc.description.abstract | Katika tasnifu hii, tumechunguza ufaaji wa Kiswahili
kama lugha ya k' _unzia katika viwango vyote vya elimu.
Tumechunguza ~shelezaji wa Kiswahili katika kufunza
hasa masomo ya Kisayansi na t- ~uma za kiufundl
Tumezingatia hasa Istilahi zilizoko katika masomo ya sayansi
na ya kiufundi katika viwango vyote vya elimu na
utoshelezaji wa hizi istilahi. Tasnifu hii imeonyesha
kwamba Kiswahili kinatosheleza na kinafaa kama lugha ya
kisomo.
Tasnifu hii ina sura tano. Sura ya kwanza ni dibaji
inayotanguliza kazi hii. Katika sura hii tumeeleza mada ya
somo letu la utafiti na madhumuni ya tasnifu hiyo. Ni
katika sura hii ambapo tunazijadili sababu za kuchagua somo
hili, mipaka ya tasnifu hii na msingi wa nadharia
tuliyoiegemea katika utafiti wetu. Aidha tumejadili kazi
za watu mbali mbali waliochunguza kazi inayohusiana na yetu
na tukadokeza na haipothesia zetu. Tumeihitimisha kazi hii
kwa kuzieleza njia tulizozitumia katika utafiti huu.
Katika sura ya pili, tumejadili hali ya lugha nchini
Kenya. Tumejaribu kujadili sababu zinazofanya hali ya lugha
kuwa ilivyo. Tumeangalia mfumo wa elimu ya 8.4.4 na athari
zake hasa kwa lugha ya Kiswahili. Ni katika sura hii ambapo
tumejadili lugha ya sayansi na pia kuchunguza sababu za
kudhania kwamba Kiswahili chafaa kama lugha ya kisomo.
Katika sura ya tatu tumegusia mashirika na watu
mbalimbali wanaoshughulikia uundaji wa istilahi. Pia
tumezungumzia njia zinazotumika kuundia istilahi na
tukachunguza ubora na udhaifu wa kila njia.
Katika sura ya Nne tulijish~ghulisha na kuchunguza
istilahi zilizopo katika masomo tuliyoyachagua ya Kisayansi
na ufundi katika viwango mbalimbali vya elimu yaani katika
elimu ya msingi, elimu ya upili na elimu ya vyuo.
Sura ya tano ni hitimisho pamoja na kuchunguza matatizo
yanayokikumba Kiswahili nchini Kenya~ | en_US |
dc.language.iso | other | en_US |
dc.publisher | University of Nairobi | en_US |
dc.rights | Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States | * |
dc.rights.uri | http://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/ | * |
dc.title | Ufaaji Wa Kiswahili Kama Lugha Ya Kisomo | en_US |
dc.type | Thesis | en_US |