Show simple item record

dc.contributor.authorKitiku, Zipporah M
dc.date.accessioned2021-09-09T05:02:04Z
dc.date.available2021-09-09T05:02:04Z
dc.date.issued2017
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/155452
dc.description.abstractUtafiti huu umehusu maudhui na mtindo katika Utenzi wa Vita vya Uhud wa Haji Chum (1959). Tumechunguza maudhui mbalimbali yanayojitokeza kwenye utenzi huu. Tumeshughulikia vipengele mbalimbali vya kimtindo vikiwemo wahusika, dayolojia, tamathali za serru na kunga nymginezo. Tamathali za serm tulizozishughulikia ni pamoja na sitiari, tashbihi, chuku, uhuishaji, maswali ya balagha na tabaini. Kunga nyingine tulizozishughulikia ni urudiaji, takriri, misemo na ukiushi wa kisintaksia. Tumeongozwa na nadharia mbili: nadharia ya Umuundo na ile ya Uhalisia. Tumeongozwa na malengo matatu ya utafiti: kwanza, tumechunguza maudhui yanayojitokeza kwenye utenzi, pili, tumeeleza jinsi wahusika wanavyoendeleza maudhui hayo na tatu, tumechunguza jinsi baadhi ya vipengele vingine vya kimtindo vinavyoendeleza maudhui. Tumebaini kuwa maudhui ya dini, ushujaa, vita na mauaji yamejitokeza katika utenzi. Pia, mtunzi amefanikiwa kuwatumia wahusika kuendeleza maudhui haya na mwisho, mbinu nyinginezo za kimtindo alizotumia mtunzi ni pamoja na taswira, dayolojia na tamathali za usemi ambazo kwa pamoja zimefanikisha kuchimuza maudhui. Hatimaye, tumetoa mapendekezo ya tafiti za baadaye.en_US
dc.language.isootheren_US
dc.publisherUniversity of Nairobien_US
dc.rightsAttribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States*
dc.rights.urihttp://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/*
dc.titleMaudhui na Mtindo Katika Utenzi Wa Vita Vya Uhuden_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail
Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States
Except where otherwise noted, this item's license is described as Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States