Show simple item record

dc.contributor.authorMogere, Gerald O
dc.date.accessioned2021-09-13T07:37:23Z
dc.date.available2021-09-13T07:37:23Z
dc.date.issued2007
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/155463
dc.description.abstractTasnifu hii imechunguza namna taswira ya gereza inavyotumiwa kuendeleza maudhui katika Haini riwaya ya Adam Shafi. Tasnifu hii ina sura tano. Katika sura ya kwanza, tumeshughulikia tatizo la utafiti, madhumuni ya utafiti, nadharia tete, sababu za kuchagua somo, msingi wa nadharia, upeo na mipaka, yaliyoandikwa kuhusu sorno na vilevile njia tulizozitumia katika utafiti huu. Katika sura ya pili, tumefafanua dhana muhimu tunazitumia katika utafiti huu. Tumezifafanua dhana za taswira, maudhui, gereza na jamii ya kigereza. Ufafanuzi wa dhana hizi urnekuwa muhimu kwa kuwa umeweka rnisingi ya kukusanya na kuchanganua data ya utafiti wetu. Sura ya tatu imeangazia namna sifa za jamii ya kigereza zinavyojitokeza katika Haini. Kwa hivyo, katika sura hii tumefafanua namna maudhui ya jamii ya kigereza yanavyosawiriwa na kuendelezwa riwayani. Baada ya kuonyesha namna sifa zajamii ya kigereza zinavyojitokeza riwayani, sura ya nne irneonyesha athari za jamii ya Kigereza kwa mujibu wa riwaya ya Haini. Sura ya tano ni hitimisho la utafiti wetu. Katika sura hii, pia tumetoa mapendekezo ya utafiti zaidi kuhusu riwaya hii ya Haini.en_US
dc.language.isootheren_US
dc.publisherUniversity of Nairobien_US
dc.rightsAttribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States*
dc.rights.urihttp://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/*
dc.titleTaswira Ya Gereza Inavyoendeleza Maudhui Katika Riwaya Yahainiyaadam Shafi.en_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail
Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States
Except where otherwise noted, this item's license is described as Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States