Show simple item record

dc.contributor.authorJoon, Yang C
dc.date.accessioned2021-09-27T05:57:20Z
dc.date.available2021-09-27T05:57:20Z
dc.date.issued1992
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/155519
dc.description.abstractIasnttu hii ni uhektkl linganishi uie methali za Kikorea na za Kiswahili. Methali kama tani muja ya tasihi simulizi hujumuisha Iikira na mauiazn mnanrnnen ya umma na hiuyo basi methali ni kiini che hekima zinazocnujura na kusimulnua katika malsha halisi ya binadarnu. Tasnitu hii imeshughulikia maudnut mbalimbali yanayotiririka katika methali. Iasnitu hii lrnekusudiuia kuanqeua jinsi uiatu uienauqnnkma kuhusu masurala mengi yanayojitokeza katlka maisna ya binadamu kura mbinu ya kuzlltnqanlsha rnatnali za jamii mbili. Zaidi ya hayo tumeazimu kuthibitisna ubia ura hisia za kibinadamu kupitia kuia methali. Methali' za Kikorea ne za Kiswahili zmaznkusangura na kuunqantshura katlka tasnlfu hii zttaurepatla urasnma]l tursa ya kutanemu utamaduni uia UJakoreo na UJaswahili. Kama kazi ya uaslsl ambayo lnqepetikana na udhaifu napa no pale, tasnitu hii tnqesnemnuuure kiusomi na kuhakikiura kura undani na upena ndipo tutatanikuua kupanua utafiti ura fasihi simulizi methali ikiwemo na kumua kiuranqn cna uhakiki. Iasnitu hii imejengeka na sura nne. Sura ya kwanza imeandikwa kunusu baadhi ya mambo yaliyo muhimu kama jiwe la msingi katika kutimiza matilaba ya tasmtu hii. Hayo ni somo la uiii utafiti, madhumuni ya tasnttu, sanabu za lculichagua snmn hili, upeo ura tasnitu, msingi ura Icinadharia, yale yaliyoandilcwa kuhusu sornn hili na njia za utafiti. Katilca sura ya pili tunashughulilcia ibada, miilco na ushirilcina ketlka tesunre zu uianqama mbalimbeh. Iunetna mitann kadhe ura kenna ili kueleze cnimbukn 10 imant hizi. Kwo kuura imani hizi zina umuhimu katika kutenamu jinsi ninademu no mezmqlra yanoyowozingiro yonouyoingiliono no kuatmrrena, tunazijamll imani hizo kura kutna metnaf kama mitano au ithibati za kuonyesha masurala haya. Pia tunaetsza tarnathau za usemi katika methali. Ingawa tematnau za usemi katika matheu ni upande ura rant na sura, kuzltahamu tarnatnau za usernl kunatusatuia kucnambua maudhul no ujumbe kattka methali. Ridho tunashuqhultkia tasunre za urengeme urananjttokeza mora kuia mara katika metholi za .Kiknrea na za IGsu.aahili. Tasunra hizo ni muhimu sana katika kuzttehamu methali na mara nyingine .ni uigumu sene kuzttanamu metnan hila kuzleleura tasunra hizo. Sura ya tatu katikn tasnitu hii inahusu upangaji ura methali, ualntsha]t uia metholi kimaudhui no rnaana na metumlzt ya methali za jamii yo lUakoreo na yo lUaswahili. Iunatatanue mbinu yo kuzlpanqa methall katika tasnitu hii kusudl urasumajl urauieze kuzillnqanlsha kura uranlst. Fauka yo hayo mbinu mbilien_US
dc.language.isoenen_US
dc.publisherUniversity of Nairobien_US
dc.rightsAttribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States*
dc.rights.urihttp://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/*
dc.titleMethali Kama Falsafa Ya Maisha: Uhakiki Linganishi Wa Mkethali Za Kikorea Na Kishwahilien_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail
Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States
Except where otherwise noted, this item's license is described as Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States