Show simple item record

dc.contributor.authorNjuguna, Ndungu
dc.date.accessioned2021-10-19T06:34:18Z
dc.date.available2021-10-19T06:34:18Z
dc.date.issued1996
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/155621
dc.description.abstractTasnifu hii inashughulikia fani katika riwaya tatu za Katama Mkangi. Kazi hizi ni: Ukiwa (1975), Mafuta (1984) na Walenisi (1995) . Katika tasnifu hii kuna sura tano. Sura ya kwanza ni pendekezo la utafiti ambapo turnejadili sorno letu la utafiti, madhurnuni, sababu za kulichagua sorno hili, mipaka na upeo wa tasnifu, haipothesia, yaliyoandikwa kuhusu sorno letu, msingi wa nadharia na njia za utafiti wetu. Sura ya pili ni uainishaji wa kiutanzu wa kazi za Katama Mkangi. Katika sura hii turnejadili dhana za hadithi fupi, novela na riwaya na kisha kutoa tathmini ya kazi za Mkangi na kuziainisha kila moja katika utanzu wake rnwafaka. Katika sura ya tatu turnejadili vipengele vya kirnuundo katika kazi za Mkangi.Turnerejelea ploti na uumbaji wa wahusika katika kazi hizi. Sura ya nne inachunguza mbinu za kirntindo zinazojidhihirisha katika kazi za Mkangi na sura ya t ano ni hitirnisho la tasnifu.Baada ya sura ya tano kuna marejeleo ya tasinifu nzima. Tanbihi zinapatikana chini ya ukurasa ambapo zinatokea.en_US
dc.language.isoenen_US
dc.publisherUniversity of Nairobien_US
dc.rightsAttribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States*
dc.rights.urihttp://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/*
dc.titleUhakiki Wa Fani Katika Riwaya Za Katama Mkangien_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail
Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States
Except where otherwise noted, this item's license is described as Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States