Show simple item record

dc.contributor.authorJerono,Prisca
dc.date.accessioned2013-05-02T08:32:35Z
dc.date.available2013-05-02T08:32:35Z
dc.date.issued2003-09
dc.identifier.citationJerono, P.(2003). Kishazi huru arifu cha Kiswahili: mtazamo wa X-baren
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/18291
dc.descriptionMA - Thesisen
dc.description.abstractTasnifu hii inajaribu kuonyesha miundo ya virai na vishazi huru vya Kiswahili kwa mujibu wa nadharia ya X-bar kwa madhumuni ya kuonyesha namna arnbavyo nadharia hii inavyoweza kutumika kuonyesha miundo ya virai na vishazi pamoja na nafasi ya vipashio mbalimbali katika miundo hii. Katika sura ya kwanza tumeangaza kuhusu utangulizi mfupi wa nadharia ya X-bar na kueleza mada ya utafiti. Vilevile tumeangalia madhumuni ya utafiti, nadharia tete, msingi wa kinadharia, udurusu wa kazi mbalimbali pamoja na njia za utafiti. Katika sura ya pili tumeangazia kuhusu dhana ya kategoria na kategoria mbalimbali zinazotumika katika uundaji wa virai. Vilevile tumeeleza kuhusu dhana ya virai na kuonyesha virai mbalimbali vinavyotumika katika uundaji wa vishazi huru pamoja na miundo yao. Katika sura ya tatu tumeonyesha uchanganuzi wa miundo ya vishazi huru kwa mujibu wa nadharia hii ya X-bar. Katika uchanganuzi huu tumezingatia miundo ya virai vilivyoonyeshwa katika sura ya pili.Vilevile kuna maelezo machahe kuhusiana na vishazi huru na vipashio mbalimbali vinavyotumika katika uundaji wa vishazi huru . Sura ya nne inatoa mahitimisho kuhusiana na uchanganuzi wa muundo wa kishazi huru pamoja na mapendekezo kuhusiana na utafiti zaidi katika eneo hili.en
dc.description.sponsorshipUniversity of Nairobien
dc.language.isoenen
dc.subjectKiswahilien
dc.subjectX-baren
dc.titleKishazi huru arifu cha Kiswahili: mtazamo wa X-baren
dc.typeThesisen
local.publisherDepartment of Linguistic and Languages, University of Nairobien


Files in this item

Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record