Show simple item record

dc.contributor.authorYalwala, Pamela M
dc.date.accessioned2013-05-02T09:41:51Z
dc.date.available2013-05-02T09:41:51Z
dc.date.issued1991
dc.identifier.citationMaster of Artsen
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/18336
dc.description.abstractTasnifu yetu imejishughulisha na maudhui mbalimbali katika nyimbo za John Mwale.Madhumuni yalikuwa ni kuangalia mchango wa nyimbo hizi kama aina mojawapo ya fasihi ya Kiswahili. Tuna jumla ya sura nne, historia ya mwimbaji na nyimbo tulizozipitia. Sura ya kwanza inaelezea mada ya tasnifu historia fupi ya mwimbaji madhumuni yake, sababu za kulichagua soma hili, mpaka wa tasnifu, msingi wa nadharia, yaliyoandikwa kuhusu soma hili na njia za utafiti. Sura ya pili ni juu ya historia pamoja na miktadha mbalimbali ya nyimbo, aina ya nyimbo, nyimbo za kazi, nyimbo za kisasa na hitimisho. Sura ya tatu ni uchambuzi wa maudhui mbalimbali katika nyimbo tulizoangalia. Sura ya nne ni hitimisho pamaja na mapendekezo ya mhakiki juu ya maswala mbalimbali ya aina ya fasihi hii. Nyimbo zilizotumiwa zimewekwa mwisho wa tasnifu hii kama Ambatisho.en
dc.language.isootheren
dc.publisherUniversity of Nairobien
dc.titleMaudhui mbalimbali katika nyimeo za John Mwaleen
dc.typeThesisen
local.publisherDepartment of Kiswahilien


Files in this item

FilesSizeFormatView

There are no files associated with this item.

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record