Mwenderani, Beatrice (University of Nairobi, 2012)
Utafiti huu umeshughulikia taswira ya mwanamke katika tamthilia mbili za Kiswahili.
Tumeangalia picha ambayo mwanamke amepewa na jamii katika tamthilia za Kilio
Cha Haki (1981) na Pango(2003).
Katika sura ya kwanza ...