Mwono ulimwengu wa Waswahili
dc.contributor.author | Nyonje, Jacktone Winstone | |
dc.contributor.author | Mbuthia, EM | |
dc.date.accessioned | 2013-07-16T06:56:53Z | |
dc.date.available | 2013-07-16T06:56:53Z | |
dc.date.issued | 2006 | |
dc.identifier.citation | Nyonje. 2006. : “Mwono Ulimwengu wa Waswahili” . (Dr. Mbuthia E.M., Ed.)., Nairobi: University of Nairobi | en |
dc.identifier.uri | http://profiles.uonbi.ac.ke/mbuthia/publications/%E2%80%9Cmwono-ulimwengu-wa-waswahili%E2%80%9D | |
dc.identifier.uri | http://erepository.uonbi.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/47921 | |
dc.description.abstract | Tasnifu hii lmegawika katika faslu nne. Sura ya kwanza inahusu pendekezo la utafiti, sababu za kuchagua somo hili, msingi wa nadharia, malengo, yaliyoandikwa kuhusu mada, upeo, haipothesia na njia za utafiti. Sura ya pili imeangazia historia ya Waswahili, ufafanuzi wa dhana ya mwonoulimwengu, elementi za mwonoulimwengu, njia za kuelezea mwonoulimwengu wa waswahili. Sura ya tatu inaangalia mwonoulimwengu wa Waswahili katika kazi ya Carl Velten: Desturi za Waswahili iliyohaririwa na Lydon Harries, Seira hii imeangia: Hatua mbalimbali za maisha - kuzaliwa kwa mtoto, malezi ya watoto, elimu, tohara, na ndoa. Sura ya nne ni hitimisho la tasnfiu. | |
dc.language.iso | en | en |
dc.publisher | University of Nairobi, | en |
dc.title | Mwono ulimwengu wa Waswahili | en |
dc.type | Thesis | en |
local.publisher | Faculty of Arts | en |