Show simple item record

dc.contributor.authorMuniu, George G
dc.date.accessioned2013-11-13T09:33:05Z
dc.date.available2013-11-13T09:33:05Z
dc.date.issued2013-11
dc.identifier.citationMuniu,George G.;November,2013.Ujagina Wa Mwanamke Katika Pango.en
dc.identifier.urihttp://erepository.uonbi.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/58861
dc.description.abstractTasnifu hii inahakiki ujagina wa mwanamke katika Pango. Mwongozo wetu katika kazi hii ni nadharia ya Ufeministi wa Kiafrika. Inalenga kuibua ujagina wa mwanamke katika jamii inayoongozwa na mfumo kandamizi wa ki-ubabedume. Tumeigawa kazi hii katika sura tano. Sura ya kwanza imeshughulikia tatizo la utafiti, madhumuni ya utafiti, nadharia tete, sababu ya kuchagua mada ya utafiti, upeo na mipaka ya tasnifu, msingi wa nadharia, yalioandikwa kuhusu somo hili na hatimaye njia za utafiti. Sura ya pili imeshughulikia ujagina wa mwanamke na asasi za jamii. Asasi hizi tukasema ni pamoja na dini, ndoa na elimu. Sura ya tatu inahusu ujagina wa mwanamke unavyodhihirika katika Pango. Sura ya nne imeshughulikia wahusika wengine wanavyochangia ujagina wa mwanamke katika Pango. Hatimaye sura ya tano ni hitimisho ambapo muhtasari wa matoke ya utafiti, mapendekezo pamoja na tafiti za baadaye zimeshughulikiwa.en
dc.language.isoothersen
dc.publisherUniversity of Nairobien
dc.titleUjagina wa mwanamke katika pangoen
dc.typeOtheren
local.publisherCollege of Humanities and Social Sciencesen


Files in this item

Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record