Makena, Mwenda Elizabeth (University of Nairobi, 2018)
Kazi yetu imechunguza jinsi baadhi ya vipengele vya fani: mandhari, wahusika na mianzo na vimalizio vinavyochangiana na kukamilishana ili kuwasilisha maudhui katika hadithi fupi za Said A. Mohamed. Fani ni jinsi ambavyo ...