Joseph, Ruth N (University of Nairobi, 2022)
Katika utafiti huu wetu tumeshughulikia taswira ya jagina kwa kuwarejelea majagina Nabii Isa kama alivyoelezwa katika Utenzi wa Nabii Isa, wake Musa Mzenga (1977), na Sundiata katika Utenzi wa Sundiata ulioandikwa na Djibril ...