Gaithuma, Virginia W (University of Nairobi, 2016)
Tasnifu hii inahusu uchanganuzi wa athari za kifonolojia za lahaja za Kiamu na Kitikuu katika
Kiswahili sanifu ambapo uchanganuzi huu unahusu kulinganisha miundo mbalimbali ya maneno
katika insha za wanafunzi na kuonyesha ...