Search
Now showing items 1-2 of 2
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Swifa Ya Nguvumali
(University of Nairobi, 2009)
Fani ni jumla ya vipengele vya kimtindo au kisanaa vinavyotumiwa kuwasilisha ujumbe.
Katika tenzi vipengele vinavyojitokeza ni mtindo, muundo, toni, msuko, mandhari,
wahusika, wakati, matumizi ya lugha na vipengele vingine ...
Dhana Ya Ulinganifu Katika Tafsiri Ya Fasihi; Tathmini Ya Usaliti Mjini
(University of Nairobi, 2009)
Tasnifu hii inashughulikia tafsiri ya kazi ya kifasihi iliyotafsiriwa kutoka
kiingereza hadi kiswahili. Tumetumia matini za Betraval ill the City (1976) 11a
Usaliti Mjini (1994).
Utafiti wetu umechunguza jinsi dhana ya ...