Dhana Ya Ulinganifu Katika Tafsiri Ya Fasihi Tathmini Ya Usaliti Mjini
dc.contributor.author | Nyaga, Mwaniki P | |
dc.date.accessioned | 2021-09-15T09:03:14Z | |
dc.date.available | 2021-09-15T09:03:14Z | |
dc.date.issued | 2009 | |
dc.identifier.uri | http://erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/155471 | |
dc.description.abstract | Tasnifu hii inashughulikia tafsiri ya kazi ya kifasihi iliyotafsiriwa kutoka kiingereza hadi kiswahili. Tumetumia matini za Betraval in the Citv (1976) 11<1 Usaltti Mjini (1994). Utafiti wetu umechunguza jinsi dhana ya aina za ulinganifu inaweza kuwepo au kutokuwepo katika kazi zilizotafsiriwa. Tasnifu hii imejengeka katika sura nne. Sura ya kwanza tumetoa soma la utafiti. madhumuni ya utafiti. misingi ya kinadharia. nadharia tete na vilevile tumerejclca yaliyoandikwa kuhusu soma letu la utafiti. Katika sura ya Pili tumezingatia fafanuzi za dhana ya ulinganifu pamoja na kujaciili aina mbalimbali za ulinganifu. Sura ya tatu ndicho kiini cha utafiti huu ambapo tumechunguza aina za ulinganifu katika kazi ya kifasihi ya Usaliti Mjini. Tumejadili ulinganifu wa kimaumbo, kiuamili. k.isarufi. kitamathali. kiisimu. kimuktadha na kimaudhui. Sura ya nne ni hitimisho. Tumeeleza marokeo ya utafiti wetu na athari zake na kisha tukatoa mapendekezo yetu. | en_US |
dc.language.iso | other | en_US |
dc.publisher | University of Nairobi | en_US |
dc.rights | Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States | * |
dc.rights.uri | http://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/ | * |
dc.title | Dhana Ya Ulinganifu Katika Tafsiri Ya Fasihi Tathmini Ya Usaliti Mjini | en_US |
dc.type | Thesis | en_US |