dc.contributor.author | Obure, Elijah, M | |
dc.date.accessioned | 2021-10-01T11:56:05Z | |
dc.date.available | 2021-10-01T11:56:05Z | |
dc.date.issued | 2012 | |
dc.identifier.uri | http://erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/155575 | |
dc.description.abstract | Utafiti huu unashughulikia swala la dhuluma dhidi ya vijana wa kike katika nwaya za
E.Kezilahabi, Rosa Mistika (1971) na C. Momanyi, Tumaini (2006) .
Uchanganuzi huu umegawanywa katika sura tano. Sura ya kwanza inahusu utangulizi wa utafiti.
Katika sura ya pili tunachunguza na kuchanganua aina za dhuluma dhidi ya vijana wa kike na
athari zake katika riwaya ya Rosa Mistika (1971). Katika sura ya tatu tunachanganua dhuluma
dhidi ya vijana wa kike na athari zake katika riwaya ya C. Momanyi, Tumaini (2006).
Sura ya nne inashughulikia vipengele vya mitazamo ya waandishi hawa wawili wa kiume na wa
kike. Sura ya tano ni muhtasari na mapendekezo ya utafiti. | en_US |
dc.language.iso | other | en_US |
dc.publisher | University of Nairobi | en_US |
dc.rights | Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States | * |
dc.rights.uri | http://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/ | * |
dc.subject | Dhuluma dhidi ya vijana wa kike katlka Riwaya za Rosa Mistlka na Tumaini | en_US |
dc.title | Dhuluma dhidi ya vijana wa kike katlka Riwaya za Rosa Mistlka na Tumaini | en_US |
dc.type | Thesis | en_US |