Show simple item record

dc.contributor.authorKisakwah, Beatrice A
dc.date.accessioned2014-12-04T04:48:42Z
dc.date.available2014-12-04T04:48:42Z
dc.date.issued2014
dc.identifier.urihttp://hdl.handle.net/11295/76160
dc.description.abstractWanafunzi wanaojifunza lugha ya pili hufanya makosa mengi yakiwemo matamshi mabaya ya maneno. Kutokana na hali hiyo, wanaisimu wamekuwa katika mstari wa mbele kubaini chanzo cha makosa na vilevile kubuni mbinu faafu zinazochangia katika kutatua matatizo hayo. Utafiti huu ulinuia kutimiza malengo yafuatayo mathaalan; kuainisha makosa ya kisintakisia katika kazi za wanafunzi kutoka kisiwani Mfangano, kuhakiki makosa yanayojitokeza katika tungo za wanafunzi na pia kubaini kiwango cha makosa yanayosababishwa na athari ya lugha ya kwanza. Kwa hivyo, kutokana na matokeo yetu, tulibaini kuwa makosa mengi hujitokeza katika tungo za wanafunzi na pia ni wazi kuwa makosa hujidhihirisha katika vipashio vyote vya lugha, ijapokuwa kwa asilimia tofauti Nadharia iliyotumiwa katika kazi hii ni nadharia ya uchanganuzi linganuzi ambayo huangazia ulinganuzi wa mifumo ya lugha mbili ili kubaini tofauti zinazojitokeza kati ya lugha hizo. Kadhalika nadharia hii huchukulia kuwa makosa katika lugha ya pili husababishwa na athari ya lugha ya kwanza. Kwa muhstasari, kazi hii imemulika makosa ya kisintaksia ya wanafunzi kutoka kisiwani Mfangano na aidha kubuni namna ya kukabiliana na makosa yanayosababishwa na lugha ya kwanza.en_US
dc.language.isoenen_US
dc.publisherUniversity of Nairobien_US
dc.titleUchanganuzi makosa na muundo sentensi: ulinganisho wa sentensi sahili za kiswahili sanifu na za kisubaen_US
dc.typeThesisen_US
dc.type.materialen_USen_US


Files in this item

Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record