Changamoto za kutafsiri matini za Kisheria: Tathmini ya Katiba ya Kenya (2010)
dc.contributor.author | Njenga, Grace W | |
dc.date.accessioned | 2014-12-17T13:08:11Z | |
dc.date.available | 2014-12-17T13:08:11Z | |
dc.date.issued | 2014 | |
dc.identifier.uri | http://hdl.handle.net/11295/77805 | |
dc.description | Thesis | en_US |
dc.description.abstract | Ikisiri Kutafsiri matini za kisheria huwa na changamoto nyingi. Changamoto hizi husababishwa na sifa za kiisimu kama vile leksia, sintaksia, semantiki na pragmatiki. Kunayo mambo mengine ambayo si ya kiisimu kama vile tofauti za tamaduni za jamii husika na tofauti za kihistoria ambazo pia huzua changamoto katika kutafsiri matini za kisheria. Kazi hii imeshughulikia changamoto za kiisimu za kutafsiri sheria. Hii imefanywa kwa kutathmini sura ya kumi na moja ya katiba ya Kenya na kutoa mifano mahsusi ya changamoto hizi kama zinavyojitokeza katika sura hii. Dhana za tafsiri zimeelezewa kwa ujumla. Sifa za kijumla za matini za kisheria zimefafanuliwa kwa uwazi na maelezo yakatolewa ya jinsi sifa hizi zinavyoathiri tafsiri za matini za kisheria kutoka Kiingereza hadi Kiswahili. Vilevile mikakati ya kukabiliana na changamoto hizi imeelezewa kwa kina. x Vifupisho ya maneno | en_US |
dc.language.iso | en | en_US |
dc.publisher | University of Nairobi | en_US |
dc.title | Changamoto za kutafsiri matini za Kisheria: Tathmini ya Katiba ya Kenya (2010) | en_US |
dc.type | Thesis | en_US |
dc.type.material | en_US | en_US |