Aloo, Ronald O (University of Nairobi, 2018)
Katika utafiti huu, tumeshughulikia matumizi ya takriri, tashbihi, sitiari, tashihisi na maswali
ya balagha katika Utenzi wa Qiyama. Utenzi huu ni miongoni mwa tenzi ndefu za kidini na
za jadi za Kiswahili. Utenzi wa ...