Okeyo, Juliet S (Idara Ya Kiswahili, University of Nairobi, 2013)
MUHTASARI
Utafiti huu umeshughulikia matumizi ya usonde nafsi na usonde jamii katika mawasiliano ya
walimu na wanafunzi wa Kiswahili. Tumetumia nadharia ya uhusiano kwa sababu ya sifa ya
usonde ya kutegemea muktadha ...