Osiemo, Donald O (University of NairobiDepartment of Arts, 1997)
Tasnifu hii imeshughulikia fani katika ushairi wa Hassan Mwalimu Mbega.
Tumehakiki diwani zake mbili ambazo ni Upisho wa umalenga (1975) na Dafina ya
Umalenga (1984) kwa kutumia nadharia ya urasimu.
Kuna sura tano katika ...