Show simple item record

dc.contributor.authorMosota, Emily K
dc.date.accessioned2016-11-22T08:46:59Z
dc.date.available2016-11-22T08:46:59Z
dc.date.issued2016
dc.identifier.urihttp://hdl.handle.net/11295/97688
dc.description.abstractUtafiti huu una lengo la kuweka wazi usayansi uliopo katika istilahi zilizotoholewa kutoka Kiswahili hadi Ekegusii. Utafiti huu umetumia nadharia ya ukopaji uhamisho na N.I.K. katika ufafanuzi wa kazi hii. Vile vile uasilia wa istilahi tohozi umechunguzwa iwapo maneno tohozi yote yalikuwa na majina asilia. Tumegundua kuwa majina asilia mengi yanazidi kufifia kwa kuwa watumizi wa nomino hizo ni wachache. Mofolojia ya Kiswahili na ya Ekegusii imelinganishwa. Ukosefu wa fonimu fulani katika lugha moja ndio husababisha tofauti katika maendelezi. Tofauti kati ya lugha hizi mbili ulibainishwa ingawa zote ni lugha za nasaba moja. Taratibu za utohozi zimechunguzwa, matokeo ya utafiti yanaonyesha kuwa utohozi huongozwa na kudhibitiwa na sheria na kanuni za fonolojia ya Ekegusii.en_US
dc.language.isootheren_US
dc.publisherUniversity Of Nairobien_US
dc.rightsAttribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States*
dc.rights.urihttp://creativecommons.org/licenses/by-nc-nd/3.0/us/*
dc.subjectUtohozi Wa Msamiatien_US
dc.titleUtohozi Wa Msamiati Kutoka Kiswahili Hadi Ekegusiien_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail
Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States
Except where otherwise noted, this item's license is described as Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States