Search
Now showing items 1-10 of 18
A Critical Analysis of the Regulation of Personal Property Securities in Kenya
(University of Nairobi, 2012)
Privatization Methods and Poverty Alleviation: an Appraisal of the Legal Regime and Experience In Kenya
(University of Nairobi, 2012)
This study is organized into five chapters. Chapter one discusses the theoretical framework of the
study. It adopts a theory of justice as framework for the study. It elaborates what such a
framework should entail in the ...
Uchanganuzi Wa Kauli Katika Sentensi Elekezi Ya Kiswahili Sanifu- Mtazamo Wa Nadharia Ya Ubanifu
(University of Nairobi, 2012)
Kazi hii inahusu uchanganuzi wa Kauli katika sentensi elekezi ya Kiswahili sanifu kwa
kutumia nadharia ya Ubanifu. Kazi yenyewe ilikuwa na malengo ya kueleza dhana ya
uambishaji na kuonyesha viambishi vya kauli katika ...
Mchangowa Vijana Kuleta Mabadiliko Chanya Katika Tamthilia Teule Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2012)
Kazi hii inahusu juhudi za vijana kama mawakala wa mabadiliko chanya katika tamthilia nne
za Kiswahili. Tamthilia hizi ni Kifo Kisimani naMaua Kwenye Jua fa Asubuhi zilizoandikwa
na Kithaka wa Mberia . Pango na Seserumbe, ...
Matumizi Ya Taswira Kama Klgezo Cha Kufanikisha Maudhui Katlka Utendi Wa Siiraji Uliyotungwa Na Muhammad I Kijumwa
(University of Nairobi, 2012)
Somo letu la utafiti linashughulikia matumizi ya taswira kama kigezo cha kufanikisha
maudhui katika Utendi wa Siiraji.
Utafiti wetu unanuia kuchunguza kigezo cha taswira na umuhimu wake katika
kufanya maudhui ya mtunzi ...
Dhamira ya Uozo Na Athari zake Kwa jamii, Katika Riwaya Ya upotevu
(University of Nairobi, 2012)
Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kuchanganua dhamira ya uozo katika nwaya ya
Upotevu, kuchunguza uhusika unavyotumiwa kuendeleza uovu na kuonyesha madhara ya
uovu katika jamii.
Kazi hii ina sura tano. Katika sura ya ...
Dhana Ya Uchimuzi Katika Uendelezaji Wa Riwaya Ya Kimajaribio Ya Mafamba
(University of Nairobi, 2012)
Tasnifu hii inahusu dhana ya uchimuzi katika uendelezaji wa riwaya ya kimajaribio au mpya ya
Mafamba (2008). Ni riwaya ya kwanza ya Olali inayomulika hali ya kisiasa katika jamii yetu na
harakati za wananchi za kuwang'oa ...
Usawiri Wa Wahuslka Wa Klke Ka Tlka Tamthilia Za Natala Na Mama Ee
(University of Nairobi, 2012)
Utafiti huu ulishugulikia usawini wa wahusika wa kike katika tamthilia za natala na
Mama ee kwa kutumia nadharia ya ufeministi. Madhumuni ua utafiti huu yalikuwa;
Kuchunguza jinsi watunzi walivyowasawiri wahusika wa kike ...
E-procurement Adoption Among Large Scale Manufacturers in Nairobi, Kenya
(University of Nairobi, 2012)
E-Procurement is more than just a system for making purchases online. Some companies
implement e-procurement and succeed while others fail. This study was carried out on the
adoption of e-procurement among large scale ...
Rethinking the practice of representative democracy , a case for increased public involvement in the law making process in Kenya.
(University of Nairobi, 2012)
Every democracy ought to have a mechanism through which the public participate in the
management of public affairs, including the law-making process. Sovereignty, including that
of Parliament, belongs to the people but ...