Search
Now showing items 1-2 of 2
Uchanganuzi Wakiisimu -matini wamsimuwa Tisa
(University of Nairobi, 2008)
Tasnifu hii imeshughulikia uchanganuzi wa kiisimu-matini wa diwani ya Msimu wa Tisa
kwa kujikita katika dhana za muala na mshikamano. Uchanganuzi huu umefanywa kwa
kufuata mwelekeo wa kinadharia wa muala wa Halliday na ...
Mofosintaksia Va Kishazi Nomino Eha Kiswahili Sanifu- Mtazamo Wa Uminimalisti
(University of Nairobi, 2008)
Utafiti huu ni jaribio la kuchanganua kishazi norrnno cha Kiswahili Sanifu. Kishazi
nomino ni kishazi tegemezi ambacho huelekea kuchukua majukurnu ya kirai nomino
katika sentensi.
Kazi hii imegawika katika sura tano. ...