Show simple item record

dc.contributor.authorWanjala, Julita A
dc.date.accessioned2016-04-21T12:21:38Z
dc.date.available2016-04-21T12:21:38Z
dc.date.issued2015-10
dc.identifier.urihttp://hdl.handle.net/11295/94628
dc.description.abstractUtafiti wetu umeshughulikia usawiri wa malezi unavyoathiri utambulisho wa vijana katika riwaya tatu teule za Kiswahili ambazo ni Asali Chungu (S.A. Mohamed), Anasa (Y. King’ala) na Fahari ya Mateso (J.S. Oyoo). Uhusika wa vijana katika riwaya tatu teule unaelezea jinsi vijana wa jinsia zote walivyotelekezwa katika jamii. Wahusika vijana wametumika kama mbinu mahususi ya kuwasilisha jumbe za aina maalum ambazo zinaweza kuwa na athari kubwa katika jamii ya mwandishi. Kutokana na utafiti wetu, matatizo ya kijamii na kiuchumi huchangia pakubwa changamoto miongoni mwa vijanaen_US
dc.language.isootheren_US
dc.subjectUsawiri wa malezien_US
dc.titleUsawiri wa malezi unavyoathiri utambulisho wa vijana katika riwaya ya kiswahili.en_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record