Browsing Faculty of Arts & Social Sciences (FoA&SS / FoL / FBM) by Title
Now showing items 2781-2800 of 2866
-
Translation Errors in Crouwdsourced Translations: an Analysis of Kiswahili Fcebook User Interface Content
(University of Nairobi, 2019)This study is set out to investigate translation errors in crowdsourced translations for Facebook’s Kiswahili user interface. These errors were identified, categorized and their apparent assessed. In order to achieve the ... -
The Treatment of Challenges in Listed Companies by the Cma Code of Corporate Governance Practices, 2015
(2019)This study analyses the Code of Corporate Governance for Issuers of Securities to the Public, 2015 in order to find out whether it addresses the emerging corporate governance challenges in listed companies. The study traces ... -
The Treatment of Family Owned Companies by the Existing Corporate Governance Framework in Kenya: a Case for Review
(University of Nairobi, 2019) -
Trends in Major Causes of Mortality Among Children Aged 5-14 Living in Selected Urban Informal Settlements in Nairobi
(University of Nairobi, 2021)This study sought to investigate the trends in major causes of mortality among children aged 5-14 living in the urban informal settlements of Korogocho and Viwandani. Although the risk of dying for this age group is one-fifth ... -
Ubanifu Wa Fani Katika Diwani Ya Alidhani Kapata Na Hadithi Nyingine
(university of Nairobi, 2015)Lengo la utafiti huu limekuwa kuchanganua ubanifu wa fani katika hadithi fupi katika diwani ya Alidhani Kapata na Hadithi Nyingine (2011) iliyohaririwa na Iribemwangi. Mada imechaguliwa kwa misingi kuwa kazi ya kifasihi ... -
Uchambuzi Linganishi Wa Maudhui Katika Nyimbo Za Hodiya Za Wadigo Wa Msambweni Na Waswahili Wa Jomvu Kuu
(University of Nairobi, 2022)Nyimbo ni mojawapo wa vipera vya fasihi simulizi. Nyimbo huweza kutofautiana au kulingana katika jamii moja hadi nyingine kutegemea mazingira ya jamii maalum. Utafiti huu ulishughulikia uchambuzi linganishi wa maudhui ya ... -
Uchambuzi Linganishi Wa Maudhui Na Mtindo Baina Ya Ngano Za Waswahili Na Wakuria
(University of Nairobi, 1987)Tasnifu hii ni Uchambuzi linganishi wa Mtindo na maudhui baina ya ngano za Waswahili na Wakuria. Hivyo basi huu ni uchambuzi wa fasihi simulizi, -ambapo tunashughulikia ngano peke yake. Fasihi simulizi inazo tanzu ... -
Uchanganuzi Wa Kauli Katika Sentensi Elekezi Ya Kiswahili Sanifu- Mtazamo Wa Nadharia Ya Ubanifu
(University of Nairobi, 2012)Kazi hii inahusu uchanganuzi wa Kauli katika sentensi elekezi ya Kiswahili sanifu kwa kutumia nadharia ya Ubanifu. Kazi yenyewe ilikuwa na malengo ya kueleza dhana ya uambishaji na kuonyesha viambishi vya kauli katika ... -
Uchanganuzi Wa Kipragmatiki Wa Maana Ya Mawasiliano Katika Jukwaa La Facebook
(University of Nairobi, 2020)Tasnifu hii imeshughulikia uchanganuzi wa maana ya kipragmatiki katika mawasiliano ya jukwaa la Facebook. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza suala la maana ya kipramatiki katika mawasiliano ya jukwaa la Facebook ... -
Uchanganuzi Wa Makosa Ya Kifonolojia Yanayofanywa Na Wazungumzaji Wa Kikamba Wanapojifunza Kiswahili Sanifu
(University of Nairobi, 2011) -
Uchanganuzi Wakiisimu -matini wamsimuwa Tisa
(University of Nairobi, 2008)Tasnifu hii imeshughulikia uchanganuzi wa kiisimu-matini wa diwani ya Msimu wa Tisa kwa kujikita katika dhana za muala na mshikamano. Uchanganuzi huu umefanywa kwa kufuata mwelekeo wa kinadharia wa muala wa Halliday na ... -
Ufaaji Wa Kiswahili Kama Lugha Ya Kisomo
(University of Nairobi, 1991)Katika tasnifu hii, tumechunguza ufaaji wa Kiswahili kama lugha ya k' _unzia katika viwango vyote vya elimu. Tumechunguza ~shelezaji wa Kiswahili katika kufunza hasa masomo ya Kisayansi na t- ~uma za kiufundl Tumezingatia ... -
Ugatuzi Wa Utamaduni wa Kikoloni Katika Tamthilia Za Ngugi Wa Thiong'o
(University of Nairobi, 2006) -
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Swifa Ya Nguvumali
(University of Nairobi, 2009)Fani ni jumla ya vipengele vya kimtindo au kisanaa vinavyotumiwa kuwasilisha ujumbe. Katika tenzi vipengele vinavyojitokeza ni mtindo, muundo, toni, msuko, mandhari, wahusika, wakati, matumizi ya lugha na vipengele vingine ... -
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Tambuka: Nadharia Ya Umuundo
(University of Nairobi, 2011) -
Uhakiki Wa Maudhui na Mtindo Katika Tikitimaji
(University of Nairobi, 2014)Tumefanya Uhakiki wa maudhui na mtindo katika Tikitimaji.Tumeangazia maudhui mbalimbali na lugha ya kitamathali iliyotumika kuendeleza dhamira na maudhui hayo. Utafiti wetu ulijikita katika Tikitimaji ila ilipotubidi ... -
Uhakiki wa Riwaya ya nyuso za mwanamke na Said Ahmed Mohamed: mtazamo wa saikolojia changanuzi
(University of Nairobi, 2011)Tasnifu hii inahusu uhakiki wa riwaya ya Nyuso za mwanamke (2010) ya Saidi Ahmed Mohamed kwa mtazamo wa saikolojia changanuzi. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kuonyesha, kuchanganua na kubainisha mitagusano inayoibuka ... -
Uhalisia Na Uhalisiajabu Katika Riwaya Mpya: Babu Alipofufuka (Said Ahmed Mohamed) Na Watuwa Gehenna (Tom Olali)
(University of Nairobi, 2013)Tasnifu hii inahusu uhalisia na uhalisiajabu katika riwaya za Said Ahmed Mohammed (Babu Alipofufuka) na Tom Olali (Watu wa Gehenna). Katika utafiti huu tumechunguza uhalisiajabu katika kiwango cha wahusika na mandhari ... -
Ujenzi Wa Taswira: Dhima Ya Tashibihi, Sitiari, Tashtiti Na Maelezo Ya Mandhari Katika Utendi Wa Ngamia Na Paa
(University of Nairobi, 2020)Katika utafiti huu, tumeshughulikia dhima ya tashibihi, sitiari, tashtiti na maelezo ya mandhari katika Utendi wa Ngamia na Paa. Utenzi huu ni miongoni mwa tenzi sita za Kiswahili za jadi zilizokusanywa, kuhaririwa na ... -
Ujenzi Wa Ujitambuzinafsia Wa Jinsia Na Upembezwaji Wa Mwanamke Katika Bunilizi Teule Za Clara Momanyi Na Omar Babu
(University of Nairobi, 2022)Jamii nyingi za Kiafrika ni za kuumeni na humweka mwanamke katika ngazi za chini akilinganishwa na mwanamume. Utafiti huu ulishughulikia mchango wa waandishi katika kuangazia jitihada za mwanamke katika kujijengea ...