Search
Now showing items 1-10 of 15
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Tambuka: Nadharia Ya Umuundo
(University of Nairobi, 2011)
Ukombozi Wa Mwanamke Katika Riwaya Za Habwe
(University of Nairobi, 2011)
Katika utafiti huu wa ukombozi wa mwanamke, tumeona kwamba ukombozi wa
mwanamke unamtegemea mwanamke mwenyewe. Mwanamke anafaa kuchukua mstari
wa mbele ili kupigania haki zake za kijamii kama njia ya kupinga ugandamizw ...
Uchanganuzi Wa Makosa Ya Kifonolojia Yanayofanywa Na Wazungumzaji Wa Kikamba Wanapojifunza Kiswahili Sanifu
(University of Nairobi, 2011)
Nafasi Ya Dini Katika Ndoa: Tathmini Ya Utengano Na Paradiso
(University of Nairobi, 2011)
Dhana Ya Maisha Katika Riwaya Mbili Za Euphrase Kezilahabi: Kichwamaji Na Dunia Uwanja Wa Fujo
(university of Nairobi, 2011)
Katika tasnifu hii tumechunguza dhana ya maisha katika nwaya mbili za Euphrase
Kezilahabi ambazo ni Kichwamaji na Dunia Uwanja wa Fujo.
Uhakiki huu umegawanywa katika sura nne. Katika sura ya kwanza tumebainisha somo
la ...
Upembezwaji Wa Mwanamke Kama Udokezi Wa Nafasi Ya Mwanamke Katika Utenzi Wa Fatuma
(university of Nairobi, 2011)
Tasnifu hii imeshughulikia upembezwaji wa mwanamke kama udokezi wa nafasi ya
mwanamke katika Utenzi wa Fatuma.
Kazi imegawika katika sura tano. Katika sura ya kwanza, tumeshughulikia maswala ya
kimsingi yanayojenga ...
Jumbe katika Vibandiko vya Matatu
(university of Nairobi, 2011)
Tasnifu hii inahusu jumbe zinazopatikana katika magari ya usafiri wa umma yanayojulikana
kama Matatu. Utafiti wetu umefanyiwa mjini Nyahururu ambao ni mji unaopatikana katika
jimbo la Nyandarua, takribani kilomita mia ...
Sitiari, Taashira Na Tashibiha Katika Uwasilishaji Wa Dhamira Katika Utenzi Wa Tambuka: Uhakiki Wa Kimtindo
(University of Nairobi, 2011)
Utenzi wa Tambuka ni miongoni mwa tenzi ndefu na za jadi za Kiswahili. Utenzi huu wenye beti
1150 unahusu tukio la vita baina ya Waislamu na Wakristo katika mji wa Tambuka vikiongozwa
na Mtume Muhammadi na mfalme Herekali ...
Legal Technicalities and the Determination of Electoral Disputes in Kenya: a Review of the Legal Framework and the Emerging Jurisprudence
(University of Nairobi, 2011)
Alexander Hamilton famously stated that the judiciary is the least dangerous of the three
branches of the government. I How wrong he was! The Kenyan judiciary, in particular the
Supreme Court, has upset the constitutional ...
Strategic Responses of Public Secondary Schools to Environmental Challenges in Matungulu Division, Machakos County
(University of Nairobi, 2011)
Organizations need to continuously identify opportunities and threats in the business environment and adapt their resources and competences so as to get maximum advantage. The organizations exist in an environment which ...