Search
Now showing items 1-10 of 37
Excise Duty as a Means of Regulating Consumer Behaviour in Kenya; a Case of the Tobacco Industry
(University of Nairobi, 2009)
Excise tax is a levy applied selectively on particular goods and services. It has been used
world over for two major reasons; as a means of raising government revenue and to regulate
consumer behaviour. The major argument ...
Taswira Dumifu Za Uana Katika Fasihi Ya Kiswahili Ya Watoto
(University of Nairobi, 2007)
Lengo kuu la utafiti huu limekuwa ni kubainisha Jll1Sl taswira durnifu za uana
zinavyojitokeza katika fasihi ya Kiswahili ya watoto.
Nadharia tete tatu zilizoongoza utafiti huu ni: Mosi, taswira dumifu za uana ...
Mitazamo Ya Vijana Na Wazee Kuhusu Ukombozi Wa Mwanamke Katika Tamthilia Tatu Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2007)
Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni kushughulikia swala la mitazamo ya vijana na
wazee kuhusu ukombozi wa mwanamke katika tamthilia tatu za Kiswahili. Tamthilia
zilizoteuliwa ni: Kitumbua kimeingia mchanga (2000) S. ...
Athari Za Udhanaishi Katika Kichwamaji Na Nguvu Ya Sala
(University of Nairobi, 2006)
Tasnifu hii imechunguza athari za udhanaishi katika riwaya mbili ambazo ni Kichwamaji na
Nguvu ya Sa/a. Kazi yenyewe imegawika katika sura nne.
Katika sura ya kwanza tumetanguliza kwa ufupi dhana ya udhanaishi. Vilevile, ...
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Swifa Ya Nguvumali
(University of Nairobi, 2009)
Fani ni jumla ya vipengele vya kimtindo au kisanaa vinavyotumiwa kuwasilisha ujumbe.
Katika tenzi vipengele vinavyojitokeza ni mtindo, muundo, toni, msuko, mandhari,
wahusika, wakati, matumizi ya lugha na vipengele vingine ...
Uchanganuzi Wakiisimu -matini wamsimuwa Tisa
(University of Nairobi, 2008)
Tasnifu hii imeshughulikia uchanganuzi wa kiisimu-matini wa diwani ya Msimu wa Tisa
kwa kujikita katika dhana za muala na mshikamano. Uchanganuzi huu umefanywa kwa
kufuata mwelekeo wa kinadharia wa muala wa Halliday na ...
Dhana Ya Ulinganifu Katika Tafsiri Ya Fasihi; Tathmini Ya Usaliti Mjini
(University of Nairobi, 2009)
Tasnifu hii inashughulikia tafsiri ya kazi ya kifasihi iliyotafsiriwa kutoka
kiingereza hadi kiswahili. Tumetumia matini za Betraval ill the City (1976) 11a
Usaliti Mjini (1994).
Utafiti wetu umechunguza jinsi dhana ya ...
Mofosintaksia Va Kishazi Nomino Eha Kiswahili Sanifu- Mtazamo Wa Uminimalisti
(University of Nairobi, 2008)
Utafiti huu ni jaribio la kuchanganua kishazi norrnno cha Kiswahili Sanifu. Kishazi
nomino ni kishazi tegemezi ambacho huelekea kuchukua majukurnu ya kirai nomino
katika sentensi.
Kazi hii imegawika katika sura tano. ...
Ugatuzi Wa Utamaduni wa Kikoloni Katika Tamthilia Za Ngugi Wa Thiong'o
(University of Nairobi, 2006)
Factors That Determine Perceived Quality of Service in the Insurance Industry in Kenya: the Case of Nairobi Province
(university of nairobi, 2003)