Search
Now showing items 1-10 of 18
Uyakinifu Wa Maudhui Makuu Katika Utenzi Wa Abdirrahmani Na Sufiyani
(University of Nairobi, 2017)
Tasnifu hii imeshughulikia uchambuzi wa maudhui makuu katika Utenzi wa
Abdirrahmani na Sufiyani kwa kusoma utenzi wenyewe na kudondoa yale masuala
mazito yenye uyakinifu katika maisha ya jamii. Tumeongozwa na nadharia ...
Urudiaji Na Uwasilishaji Wa Maana Katika Ushairi Wa Kisasa
(University of Nairobi, 2017)
Tasnifuhii imeshughulikia urudiaji na uwasilishaji wa maana katika diwani ya Dhifa na Vifaru
Weusi. Tumeangazia mambo yafuatayo: usuli, suala la utafiti, malengo ya utafiti, maswali ya
utafiti,sababu za kuchagua mada, ...
Lugha Katika Idara Ya Uhamiaji Nchini Kenya:mfano Wa Idara Ya Uhamiaji Mombasa
(University of Nairobi, 2017)
Utafiti huu ulihusu uchunguzi wa lugha yamazungumzo katika Jdara ya Uhamiaji nchini Kenya.
Ni utafiti uliokuwa na malengo mawili ambayo ni; kubainisha aina za sentensi zinazotumika
katika mazungumzo katika Jdara ya ...
Mchango Wa Sitiari Za Kiswahili Katika Kauli Za Klchochezi Kwe Ye Diskosi Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2017)
Utafiti huu ulichunguza jinsi sitiari za Kiswahili hujitokeza katika kauli za wanasiasa na jinsi
wanasiasa huweza kuzitumia kueneza kauli za kichochezi nchini Kenya. Vile vile, jinsi lugha ya
Kiswahili ijapokuwa ni lugha ...
Uyakinifu Wa Maudhui Makuu Katika Utenzi Wa Abdirrahmani Na Sufiyani
(University of Nairobi, 2017)
Tasnifu hii imeshughulikia uchambuzi wa maudhui makuu katika Utenzi wa
Abdirrahmani na Sujiyani kwa kusoma utenzi wenyewe na kudondoa yale masuala
mazito yenye uyakinifu katika maisha ya jamii. Tumeongozwa na nadharia ...
Mchango Wa Vijana Katika Kuleta Mabadiliko Katika Kufa Kuzikana Nakidagaa Kimemwozea
(University of Nairobi, 2017)
Katika utafiti huu, tumeonyesha mchango wa vijana katika kuleta mabadiliko katika riwaya za
Kufa Kuzikana na Kidagaa Kimemwozea. Pia, tumeangazia changamoto ambazo vijana
hukumbana nazo katika juhudi zao za kuleta ...
Mwingiliano Wa Fasihi Na Historia Katika Utenzi Wa Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwairara (Mtu Ni Kwao Japo Chini Mwa Irara)
(University of Nairobi, 2017)
Tasnifu hii inahusu mwingiliano wa fasihi na historia katika Utenzi wa Nchuu Cwavo
Yapo Tini lvfwa Irara wa Abubaker M.B. Khuchi. Kazi hii ilikuwa na maIengo
mahususi matatu; kwanza, kuhakiki mchango wa historia katika ...
“Administration police and peacebuilding in kenya: a case study of Molo sub county, Nakuru county; 1992-2012.”
(University of Nairobi, 2017)
This research examines role of Administration Police in post-conflict peacebuilding as part of reconstruction efforts among rural communities with focus on Molo Sub County between 1992 and 2012. It investigates causes of ...
Mwingiliano Wa Fasihi Na Historia Katika Utenzi Wa Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwa Irara (Mtu Ni Kwao Yapo tini Mwa Irara)
(University of Nairobi, 2017)
Tasnifu hii inahusu mwingiliano wa fasihi na historia katika Utenzi wa Nchuu Cwavo
Yapo Tini lvfwa Irara wa Abubaker M.B. Khuchi. Kazi hii ilikuwa na maIengo
mahususi matatu; kwanza, kuhakiki mchango wa historia katika ...
Countering Violent Extremism Through Public Participation
(University of Nairobi, 2017)
With the increasing rate of international terrorism and violent extremism, many countries especially in Africa have sought to find all the possible solutions to counter violent extremism. It is for this reason that I ...