Browsing Faculty of Arts by Title
Now showing items 632-651 of 662
-
Ulumbilugha Na Athari Zake Katika Uandishi Wa Insha Za Shule Za Msingi Ya Cghu Na Moi Avenue; Kifani Cha Sheng Na Kiingereza Kwa Kiswahili
(University of Nairobi, 2022)Utafiti huu ulinuia kuchunguza athari za ulumbilugha kwa Kiswahili. Tasnifu hii imegawanywa kwa sura tano. Katika sura ya kwanza tulishughulikia utangulizi wa kazi hii kwa ujumla kwa kuangazia tatizo la utafiti, maswali ... -
The Unaccompanied Children Refugees: a Case of Dadaab Refugee Camp in Garissa County, Kenya, 1991-2017
(University of Nairobi, 2022)The study examined the unaccompanied refugee children in Daadab Refugee Camp in Garissa County, Kenya, from 1991-2017. Since 1991, the number of unaccompanied children has increased considerably in refugee and IDP camps ... -
The Unsung Hero: Biography of Boniface Mganga
(University of Nairobi, 2021)Boniface Mganga was an accomplished musician, composer, arranger, organist, founder and consummate director of the world famed Muungano National Choir. In addition to his artistic contributions, Boniface Mganga demonstrated ... -
Upanuzi Na Ubanaji Wa Maana Katika Kandanda: Ulinganisho Na Ulinganuzi Nchini Kenya Na Tanzania
(University of Nairobi, 2023)Utafiti huu unahusu upanuzi na ubanaji wa maana katika kadanda nchini Kenya na Tanzania. Tumebainisha kwa kulinganisha na kulinganua namna lugha ya Kiswahili inavyotumika katika utangazaji wa kandanda nchini Kenya na ... -
Upembezwaji Wa Mwanamke Kama Udokezi Wa Nafasi Ya Mwanamke Katika Utenzi Wa Fatuma
(university of Nairobi, 2011)Tasnifu hii imeshughulikia upembezwaji wa mwanamke kama udokezi wa nafasi ya mwanamke katika Utenzi wa Fatuma. Kazi imegawika katika sura tano. Katika sura ya kwanza, tumeshughulikia maswala ya kimsingi yanayojenga ... -
Urejelezi Katika Gazeti La Taifa Leo: Mtazamo Wa Kipragmatiki
(University of Nairobi, 2021)Tasnifu hii ililenga kubainisha aina za urejelezi katika gazeti la Taifa Leo na jinsi zinavyochangia kuleta mshikamano katika matini. Utafiti huu ulikuwa na malengo matatu: kubainisha aina za urejelezi katika gazeti la ... -
Urudiaji Na Uwasilishaji Wa Maana Katika Ushairi Wa Kisasa
(University of Nairobi, 2017)Tasnifuhii imeshughulikia urudiaji na uwasilishaji wa maana katika diwani ya Dhifa na Vifaru Weusi. Tumeangazia mambo yafuatayo: usuli, suala la utafiti, malengo ya utafiti, maswali ya utafiti,sababu za kuchagua mada, ... -
Usasa Katika Ushairi Wa Kithaka Wa Mberia: Uchanganuzi Wa Maudhui Na Mtindo
(University of Nairobi, 2020)Themes and style are two inseparable aspects in a literary work. This research mainly focuses on modernity of themes as enabled by the unique style in Kithaka wa Mberia’s poetry. The objectives of this study are: to ... -
Usawiri Wa Wahuslka Wa Klke Ka Tlka Tamthilia Za Natala Na Mama Ee
(University of Nairobi, 2012)Utafiti huu ulishugulikia usawini wa wahusika wa kike katika tamthilia za natala na Mama ee kwa kutumia nadharia ya ufeministi. Madhumuni ua utafiti huu yalikuwa; Kuchunguza jinsi watunzi walivyowasawiri wahusika wa kike ... -
Usawiri Wa Watoto Katlka Hadithi Za Mwepesi Wa Kusaha Unalikizo Ya Mkosi
(University of Nairobi, 2015)Mada ya utafiti huu ilikuwa kuchunguza usawiri wa watoto katika hadithi za Mwepesi vva Kusahau na Likizo ya Mkosi. Hadithi hizi za watoto zimejikita katika fasihi ya watoto. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kubainisha ... -
Use of Contraceptives Among Adolescents and Their Effects in Preventing Pregnancy: a Case of Kawangware Slum Area in Nairobi City County
(University of Nairobi, 2019)The study sought to investigate the use of contraceptives and its effect on adolescent pregnancy among poor urban communities. In so doing, the study was guided by five objectives; to establish the prevalence of pregnancy ... -
The Use of Social Media in Crisis Communication in an Organization: a Case of the Kenya Power Company Limited
(University of Nairobi, 2022)Based on the premise that social media is used by organizations to manage crises, the study examined the use of social media during a crisis in Kenya Power Lighting Company. The lack of gatekeeping in social media often ... -
Utambulisho Wa Jinsia Katika Maumbile Si Huja Na Paradiso
(University of Nairobi, 2021)Lengo la utafiti huu limekuwa ni kuchunguza na kuchanganua utambulisho wa jinsia katika kazi za John Habwe za Maumbile si Huja na Paradiso. Mada hii imechaguliwa kutokana na uelewa kuwa kazi za kifasihi huibua utambulisho ... -
Utilization of Geographic Information System Technology on Implementation of Kenya Rural Roads Authority’s Road Construction Projects in Kenya
(University of Nairobi, 2023)The success of any road construction project relies heavily on effective and efficient planning, implementation and monitoring of the construction progress. Studies have indicated the integration of GIS technology with the ... -
Utohozi Wa Msamiati Kutoka Kisw Ahili Hadi Ekegusii
(University of Nairobi, 2016)Utafiti huu una lengo la kuweka wazi usayansi uliopo katika istilahi zilizotoholewa kutoka Kiswahili hadi Ekegusii. Utafiti huu umetumia nadharia ya ukopaji uhamisho na N.I.K. katika ufafanuzi wa kazi hii. Vile vile ... -
Uyakinifu Wa Maudhui Makuu Katika Utenzi Wa Abdirrahmani Na Sufiyani
(University of Nairobi, 2017)Tasnifu hii imeshughulikia uchambuzi wa maudhui makuu katika Utenzi wa Abdirrahmani na Sufiyani kwa kusoma utenzi wenyewe na kudondoa yale masuala mazito yenye uyakinifu katika maisha ya jamii. Tumeongozwa na nadharia ... -
Uyakinifu Wa Maudhui Makuu Katika Utenzi Wa Abdirrahmani Na Sufiyani
(University of Nairobi, 2017)Tasnifu hii imeshughulikia uchambuzi wa maudhui makuu katika Utenzi wa Abdirrahmani na Sujiyani kwa kusoma utenzi wenyewe na kudondoa yale masuala mazito yenye uyakinifu katika maisha ya jamii. Tumeongozwa na nadharia ... -
Vocational Entrepreneurial Training and the Success of Youth-owned Enterprises in Kasarani Sub-county, Kenya.
(University of Nairobi, 2022)One of the immerging issue relates to how vocational entrepreneurial training affects the success of enterprises. An investigation of the link between vocational entrepreneurial training and the success enterprises owned ... -
Whatsapp Use in Newsrooms-a Case Study of the Daily Nation Newspaper
(University of Nairobi, 2021)This study sought to examine the effect of WhatsApp Messenger use in media houses. The study focused on the use of WhatsApp Messenger by Nation Media Group journalists. The study was premised on three objectives namely, ... -
Women and Deradicalization Efforts in Kenya: the Case of Isiolo County, 2011-2018
(University of Nairobi, 2022)This study investigated both the radicalisation of the youth as well as the role of women in deradicalization in Isiolo county, located in Kenya, covering the period between 2011 and 2018. On the one hand, radicalization ...