Search
Now showing items 1-10 of 83
Impact of Retirement Benefits Regulations on the Cost Efficiency of Retirement Benefits Schemes in Kenya
(university of nairobi, 2010)
A Critical Analysis of the Regulation of Personal Property Securities in Kenya
(University of Nairobi, 2012)
Privatization Methods and Poverty Alleviation: an Appraisal of the Legal Regime and Experience In Kenya
(University of Nairobi, 2012)
This study is organized into five chapters. Chapter one discusses the theoretical framework of the
study. It adopts a theory of justice as framework for the study. It elaborates what such a
framework should entail in the ...
Uchanganuzi Wa Kauli Katika Sentensi Elekezi Ya Kiswahili Sanifu- Mtazamo Wa Nadharia Ya Ubanifu
(University of Nairobi, 2012)
Kazi hii inahusu uchanganuzi wa Kauli katika sentensi elekezi ya Kiswahili sanifu kwa
kutumia nadharia ya Ubanifu. Kazi yenyewe ilikuwa na malengo ya kueleza dhana ya
uambishaji na kuonyesha viambishi vya kauli katika ...
Mchangowa Vijana Kuleta Mabadiliko Chanya Katika Tamthilia Teule Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2012)
Kazi hii inahusu juhudi za vijana kama mawakala wa mabadiliko chanya katika tamthilia nne
za Kiswahili. Tamthilia hizi ni Kifo Kisimani naMaua Kwenye Jua fa Asubuhi zilizoandikwa
na Kithaka wa Mberia . Pango na Seserumbe, ...
Ukuaji Wa Muundo Na Mawazo Katlka Tamthilia Za Timothy Arege Mtazamo Wa Umuundo
(University of Nairobi, 2013)
Utafiti huu umechunguza ukuaji wa muundo na mawazo katika tamthilia za Timothy
Arege. Tamthilia zilizoteuliwa kuhakikiwa ni tatu. Nazo ni: Chamchela (2007), Kijiba
cha Moyo(2009) na Mstahiki Meya (201 1)
Sura ya kwanza ...
Utohozi Wa Msamiati Kutoka Kisw Ahili Hadi Ekegusii
(University of Nairobi, 2016)
Utafiti huu una lengo la kuweka wazi usayansi uliopo katika istilahi zilizotoholewa kutoka
Kiswahili hadi Ekegusii. Utafiti huu umetumia nadharia ya ukopaji uhamisho na N.I.K. katika
ufafanuzi wa kazi hii. Vile vile ...
Matumizi Ya Taswira Kama Klgezo Cha Kufanikisha Maudhui Katlka Utendi Wa Siiraji Uliyotungwa Na Muhammad I Kijumwa
(University of Nairobi, 2012)
Somo letu la utafiti linashughulikia matumizi ya taswira kama kigezo cha kufanikisha
maudhui katika Utendi wa Siiraji.
Utafiti wetu unanuia kuchunguza kigezo cha taswira na umuhimu wake katika
kufanya maudhui ya mtunzi ...
Usawiri Wa Watoto Katlka Hadithi Za Mwepesi Wa Kusaha Unalikizo Ya Mkosi
(University of Nairobi, 2015)
Mada ya utafiti huu ilikuwa kuchunguza usawiri wa watoto katika hadithi za Mwepesi
vva Kusahau na Likizo ya Mkosi. Hadithi hizi za watoto zimejikita katika fasihi ya
watoto. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kubainisha ...
Ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika mkamandume
(University of Nairobi, 2015)
Tasnifu hii imeshughulikia suala la ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika Mkamandume ya S.
A. Mohamed. Lengo la utafiti huu lilikuwa kuchanganua hali ya kisiasa na kiuchumi katika
Visiwa vya Zanzibar na Pemba na kutathmini ...