Search
Now showing items 241-250 of 2980
Urudiaji Na Uwasilishaji Wa Maana Katika Ushairi Wa Kisasa
(University of Nairobi, 2017)
Tasnifuhii imeshughulikia urudiaji na uwasilishaji wa maana katika diwani ya Dhifa na Vifaru
Weusi. Tumeangazia mambo yafuatayo: usuli, suala la utafiti, malengo ya utafiti, maswali ya
utafiti,sababu za kuchagua mada, ...
Usawiri Wa Watoto Katlka Hadithi Za Mwepesi Wa Kusaha Unalikizo Ya Mkosi
(University of Nairobi, 2015)
Mada ya utafiti huu ilikuwa kuchunguza usawiri wa watoto katika hadithi za Mwepesi
vva Kusahau na Likizo ya Mkosi. Hadithi hizi za watoto zimejikita katika fasihi ya
watoto. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kubainisha ...
Uchanganuzi Wakiisimu -matini wamsimuwa Tisa
(University of Nairobi, 2008)
Tasnifu hii imeshughulikia uchanganuzi wa kiisimu-matini wa diwani ya Msimu wa Tisa
kwa kujikita katika dhana za muala na mshikamano. Uchanganuzi huu umefanywa kwa
kufuata mwelekeo wa kinadharia wa muala wa Halliday na ...
Lugha Katika Idara Ya Uhamiaji Nchini Kenya:mfano Wa Idara Ya Uhamiaji Mombasa
(University of Nairobi, 2017)
Utafiti huu ulihusu uchunguzi wa lugha yamazungumzo katika Jdara ya Uhamiaji nchini Kenya.
Ni utafiti uliokuwa na malengo mawili ambayo ni; kubainisha aina za sentensi zinazotumika
katika mazungumzo katika Jdara ya ...
Dhana Ya Ulinganifu Katika Tafsiri Ya Fasihi; Tathmini Ya Usaliti Mjini
(University of Nairobi, 2009)
Tasnifu hii inashughulikia tafsiri ya kazi ya kifasihi iliyotafsiriwa kutoka
kiingereza hadi kiswahili. Tumetumia matini za Betraval ill the City (1976) 11a
Usaliti Mjini (1994).
Utafiti wetu umechunguza jinsi dhana ya ...
Ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika mkamandume
(University of Nairobi, 2015)
Tasnifu hii imeshughulikia suala la ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika Mkamandume ya S.
A. Mohamed. Lengo la utafiti huu lilikuwa kuchanganua hali ya kisiasa na kiuchumi katika
Visiwa vya Zanzibar na Pemba na kutathmini ...
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Tambuka: Nadharia Ya Umuundo
(University of Nairobi, 2011)
Effect of interactive approach instruction on standard six learners’ achievement in reading comprehension in Primary Schools in Vihiga County, Kenya
(University of Nairobi, 2021)
Learners’ achievement in reading comprehension is a function of the instructional methods applied by teachers. Extant literature hypes the interactive approach instruction as an effective approach for improving learners’ ...
Optimization of Electronic Record Management System and Performance in Public Institutions: Case Study of the Ministry of Lands and Physical Planning Registry
(University of Nairobi, 2020)
The aim of the study was to examine the optimization of electronic records management systems in performance of public institutions with reference to the ministry of lands and physical planning registry..................
The Effect Of Loan Quality On The Financial Performance Of Commercial Banks In Kenya
(University of Nairobi, 2020)