Browsing Theses and Dissertations by Title
Now showing items 30185-30204 of 45731
-
Maudhui Ya Ukoloni Mamboleo Katika Tamthilia Teule Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2017) -
Maudhui Ya Ukombozi Katika Wimbo Mpya Na Msururu Wa Usaliti
(University of Nairobi, 2016)Tasnifu hii imeshughulikia swala la Maudhui ya Ukombozi katika Wimbo Mpya na Msururu wa Usaliti. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kutathmini changamoto zinazozikumba jamii za Wimbo Mpya na Msururu wa usaliti, kuchunguza ... -
Maudhui ya waadhi katika utenzi wa adili
(University of Nairobi, Kenya, 2011)Madhumuni ya utafiti huu ni kuchunguza na kubaini wazi maudhui ya waadhi katika Utenzi wa Adili ulioandikwa na Shaaban Robert. Maudhui ya waadhi ni wasia au ushauri mbalimbali wa kipekee, katika mazingira mbalimbali, ... -
Maudhui Yanavyo Imarishwa Na Fani Katika Riwaya Ya Nguvu Ya Sala Ya K.W Wamitila
(University of Nairobi, 2016)Kazi yetu imechunguza vipengele vya fani. Tulifafanua dhana ya fani kwa kusema kuwa, fani ni vipengele vya kisanaa katika kazi ya fasihi. Aidha, fani ni jinsi ambavyo msanii hufinyanga kazi yake ili msomaji apate ujumbe ... -
Maudhui Yanavyoimarishwa Na Fani Katika Riwaya Ya Nguvu Ya Sala Ya K.w Wamitila
(University Of Nairobi, 2016)Kazi yetu imechunguza vipengele vya fani. Tulifafanua dhana ya fani kwa kusema kuwa, fani ni vipengele vya kisanaa katika kazi ya fasihi. Aidha, fani ni jinsi ambavyo msanii hufinyanga kazi yake ili msomaji apate ujumbe ... -
The Maxim of "Res Ipsa Loquitur" and Its Application to Hospital Cases
(University of NairobiSchool of Law, 1977) -
Maximal numerical range of Operators in hilbert spaces
(School of Mathematics, University of Nairobi, 1998)The maximal numerical range of a linear operator T, on a Hilbert space H, denoted by Wo(T), is a subset of the complex field C. It is a relatively new concept in ..operator theory, having been introduced only in 1970 ... -
Maximising lifetime of wireless sensor networks using distributed scheduling algorithms with adjustable sensing range.
(University of NairobiSchool of Computing and Informatics, 2011)Optimizing the energy consumption in wireless sensor networks has recently become the most important performance objective. In this project we define the lifetime of a wireless sensor network as the amount of time that ... -
Maximum Entropy Modelling of Parthenium Hysterophorus L. Under Current and Projected Climate Change Within the Maasai Mara Ecosystem
(University of Nairobi, 2022)Land managers are increasingly using Species Distribution Models (SDMs) in modeling potential geographical distribution of Invasive Alien Plant Species (IAPS). These models show current distribution and also areas prone ... -
Mbari Centre Enugu( a cultural centre in Nigeria)
(Faculty of Architecture and engineering, University of Nairobi, 1976-07)The basis of this study stems from an interest in preserving the culture of the Ibo people of Nigeria, and the conviction that cultural exchanges through dances promote understanding and unity between different groups ... -
Mbatiany 1824-1889:A bibliographical study of a nineteenth century Maasai Oloiboni
(1980)The extant literature about the traditional institutions of the maasai seems to have overlooked the role of religion in the traditional societies. As a result of this, two theories have emerged concerning the role the ... -
Mchango Kwa Vijana Kuleta Mabadiliko Chanya Katika Tamthilia Teule Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2012)Kazi hii inahusu juhudi za vijana kama mawakala wa mabadiliko chanya katika tamthilia nne za Kiswahili. Tamthilia hizi ni Kifo Kisimani naMaua Kwenye Jua la Asubuhi zilizoandikwa na Kithaka wa Mberia . Pango na Seserumbe, ... -
Mchango Wa Sajili Ya Kidini Katika Kufanikisha Riwaya Mbili Za Ken Walibora (Kidagaa Kimemwozea Na Ndoto Ya Almasi)
(University of Nairobi, 2017)Tuliamua kuchunguza jinsi mwandishi wa riwaya za Kidagaa Kimemwozea na Ndoto ya Almasi ametumia lugha ya kipekee anaporejelea masuala ya dini ya Kikristo ili kubainisha: sifa za sajili ya dini ya Kikristo zinavyojitokeza, ... -
Mchango Wa Sitiari Za Kiswahili Katika Kauli Za Kichochezi Kwenye Diskosi Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulichunguza jinsi sitiari za Kiswahili hujitokeza katika kauli za wanasiasa na jinsi wanasiasa huweza kuzitumia kueneza kauli za kichochezi nchini Kenya. Vile vile, jinsi lugha ya Kiswahili ijapokuwa ni lugha ... -
Mchango Wa Sitiari Za Kiswahili Katika Kauli Za Kichochezi Kwenye Diskosi Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulichunguza jinsi sitiari za Kiswahili hujitokeza katika kauli za wanasiasa na jinsi wanasiasa huweza kuzitumia kueneza kauli za kichochezi nchini Kenya. Vile vile, jinsi lugha ya Kiswahili ijapokuwa ni lugha ... -
Mchango Wa Sitiari Za Kiswahili Katika Kauli Za Kichochezi Kwenye Diskosi Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulichunguza jinsi sitiari za Kiswahili hujitokeza katika kauli za wanasiasa na jinsi wanasiasa huweza kuzitumia kueneza kauli za kichochezi nchini Kenya. Vile vile, jinsi lugha ya Kiswahili ijapokuwa ni lugha ... -
Mchango Wa Sitiari Za Kiswahili Katika Kauli Za Klchochezi Kwe Ye Diskosi Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulichunguza jinsi sitiari za Kiswahili hujitokeza katika kauli za wanasiasa na jinsi wanasiasa huweza kuzitumia kueneza kauli za kichochezi nchini Kenya. Vile vile, jinsi lugha ya Kiswahili ijapokuwa ni lugha ... -
Mchango Wa Vijana Katika Kuleta Mabadiliko Katika Kufa Kuzikana Na Kidagaa Kimemwozea
(University of Nairobi, 2017)Katika utafiti huu, tumeonyesha mchango wa vijana katika kuleta mabadiliko katika riwaya za Kufa Kuzikana na Kidagaa Kimemwozea. Pia, tumeangazia changamoto ambazo vijana hukumbana nazo katika juhudi zao za kuleta mabadiliko. ... -
Mchango Wa Vijana Katika Kuleta Mabadiliko Katika Kufa Kuzikana Nakidagaa Kimemwozea
(University of Nairobi, 2017)Katika utafiti huu, tumeonyesha mchango wa vijana katika kuleta mabadiliko katika riwaya za Kufa Kuzikana na Kidagaa Kimemwozea. Pia, tumeangazia changamoto ambazo vijana hukumbana nazo katika juhudi zao za kuleta ... -
Mchango wa vijana kuleta mabadiliko chanya katika tamthilia teule za Kiswahili
(University of Nairobi, Kenya, 2012)Kazi hii inahusu juhudi za vijana kama mawakala wa mabadiliko chanya katika tamthilia nne za Kiswahili. Tamthilia hizi ni Kifo Kisimani naMaua Kwenye Jua la Asubuhi zilizoandikwa na Kithaka wa Mberia . Pango na Seserumbe, ...