Faculty of Arts: Recent submissions
Now showing items 401-420 of 662
-
A Pre-colonial History of Abatachoni, 1500-1900 a.d.: 0 a Study in Socio-cultural Change
(University of Nairobi, 1991)This thesis is a survey of the pre-colonial history of Abatachoni from A.D. 1500 to 1900. The thesis set out to trace the origin, migration and settlement of Abatachoni from the Uasin Gishu plateau of Rift Valley Province ... -
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Swifa Ya Nguvumali
(University of Nairobi, 2009)Fani ni jumla ya vipengele vya kimtindo au kisanaa vinavyotumiwa kuwasilisha ujumbe. Katika tenzi vipengele vinavyojitokeza ni mtindo, muundo, toni, msuko, mandhari, wahusika, wakati, matumizi ya lugha na vipengele vingine ... -
Usawiri Wa Wahuslka Wa Klke Ka Tlka Tamthilia Za Natala Na Mama Ee
(University of Nairobi, 2012)Utafiti huu ulishugulikia usawini wa wahusika wa kike katika tamthilia za natala na Mama ee kwa kutumia nadharia ya ufeministi. Madhumuni ua utafiti huu yalikuwa; Kuchunguza jinsi watunzi walivyowasawiri wahusika wa kike ... -
Athari Za Kifonolojia Za Lahaja Ya Kiamu Na Kitikuu Katika Kiswahili Sanifu
(University of Nairobi, 2016)Tasnifu hii inahusu uchanganuzi wa athari za kifonolojia za lahaja za Kiamu na Kitikuu katika Kiswahili sanifu ambapo uchanganuzi huu unahusu kulinganisha miundo mbalimbali ya maneno katika insha za wanafunzi na kuonyesha ... -
Mitazamo Kuhusu Kiswahili Miongoni Mwa Wazungumzaji Wa Kijaluo- Kifani Cha Shule Za Msingi Katika Kaunti Ya Migori.
(University of Nairobi, 2014)Katika tasnifu hii, tumechunguza mitazamo kuhusu Kiswahili miongoni mwa wazungurnzaji wa Kijaluo kwa kurejelea shule za msingi katika Kaunti ya Migori. Madhumuni ya utafiti ni, kupambanua mitazamo kuhusu lugha ya Kiswahili ... -
Mchango Wa Sitiari Za Kiswahili Katika Kauli Za Klchochezi Kwe Ye Diskosi Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulichunguza jinsi sitiari za Kiswahili hujitokeza katika kauli za wanasiasa na jinsi wanasiasa huweza kuzitumia kueneza kauli za kichochezi nchini Kenya. Vile vile, jinsi lugha ya Kiswahili ijapokuwa ni lugha ... -
Ukuaji Wa Muundo Na Mawazo Katlka Tamthilia Za Timothy Arege Mtazamo Wa Umuundo
(University of Nairobi, 2013)Utafiti huu umechunguza ukuaji wa muundo na mawazo katika tamthilia za Timothy Arege. Tamthilia zilizoteuliwa kuhakikiwa ni tatu. Nazo ni: Chamchela (2007), Kijiba cha Moyo(2009) na Mstahiki Meya (201 1) Sura ya kwanza ... -
Mchangowa Vijana Kuleta Mabadiliko Chanya Katika Tamthilia Teule Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2012)Kazi hii inahusu juhudi za vijana kama mawakala wa mabadiliko chanya katika tamthilia nne za Kiswahili. Tamthilia hizi ni Kifo Kisimani naMaua Kwenye Jua fa Asubuhi zilizoandikwa na Kithaka wa Mberia . Pango na Seserumbe, ... -
Utohozi Wa Msamiati Kutoka Kisw Ahili Hadi Ekegusii
(University of Nairobi, 2016)Utafiti huu una lengo la kuweka wazi usayansi uliopo katika istilahi zilizotoholewa kutoka Kiswahili hadi Ekegusii. Utafiti huu umetumia nadharia ya ukopaji uhamisho na N.I.K. katika ufafanuzi wa kazi hii. Vile vile ... -
Uchambuzi Linganishi Wa Maudhui Na Mtindo Baina Ya Ngano Za Waswahili Na Wakuria
(University of Nairobi, 1987)Tasnifu hii ni Uchambuzi linganishi wa Mtindo na maudhui baina ya ngano za Waswahili na Wakuria. Hivyo basi huu ni uchambuzi wa fasihi simulizi, -ambapo tunashughulikia ngano peke yake. Fasihi simulizi inazo tanzu ... -
Methali Kama Falsafa Ya Maisha: Uhakiki Linganishi Wa Mkethali Za Kikorea Na Kishwahili
(University of Nairobi, 1992)Iasnttu hii ni uhektkl linganishi uie methali za Kikorea na za Kiswahili. Methali kama tani muja ya tasihi simulizi hujumuisha Iikira na mauiazn mnanrnnen ya umma na hiuyo basi methali ni kiini che hekima zinazocnujura ... -
Uchanganuzi Wa Kauli Katika Sentensi Elekezi Ya Kiswahili Sanifu- Mtazamo Wa Nadharia Ya Ubanifu
(University of Nairobi, 2012)Kazi hii inahusu uchanganuzi wa Kauli katika sentensi elekezi ya Kiswahili sanifu kwa kutumia nadharia ya Ubanifu. Kazi yenyewe ilikuwa na malengo ya kueleza dhana ya uambishaji na kuonyesha viambishi vya kauli katika ... -
Dhana Ya Uchimuzi Katika Uendelezaji Wa Riwaya Ya Kimajaribio Ya Mafamba
(University of Nairobi, 2012)Tasnifu hii inahusu dhana ya uchimuzi katika uendelezaji wa riwaya ya kimajaribio au mpya ya Mafamba (2008). Ni riwaya ya kwanza ya Olali inayomulika hali ya kisiasa katika jamii yetu na harakati za wananchi za kuwang'oa ... -
Athari Za Udhanaishi Katika Kichwamaji Na Nanguvu Ya Sala
(University of Nairobi, 2006)Tasnifu hii imechunguza athari za udhanaishi katika riwaya mbili ambazo ni Kichwamaji na Nguvu ya Sala. Kazi yenyewe imegawika katika sura nne. Katika sura ya kwanza tumetanguliza kwa ufupi dhana ya udhanaishi. Vilevile, ... -
Mwingiliano Wa Fasihi Na Historia Katika Utenzi Wa Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwairara (Mtu Ni Kwao Japo Chini Mwa Irara)
(University of Nairobi, 2017)Tasnifu hii inahusu mwingiliano wa fasihi na historia katika Utenzi wa Nchuu Cwavo Yapo Tini lvfwa Irara wa Abubaker M.B. Khuchi. Kazi hii ilikuwa na maIengo mahususi matatu; kwanza, kuhakiki mchango wa historia katika ... -
Ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika mkamandume
(University of Nairobi, 2015)Tasnifu hii imeshughulikia suala la ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika Mkamandume ya S. A. Mohamed. Lengo la utafiti huu lilikuwa kuchanganua hali ya kisiasa na kiuchumi katika Visiwa vya Zanzibar na Pemba na kutathmini ... -
Dhana Ya Ulinganifu Katika Tafsiri Ya Fasihi; Tathmini Ya Usaliti Mjini
(University of Nairobi, 2009)Tasnifu hii inashughulikia tafsiri ya kazi ya kifasihi iliyotafsiriwa kutoka kiingereza hadi kiswahili. Tumetumia matini za Betraval ill the City (1976) 11a Usaliti Mjini (1994). Utafiti wetu umechunguza jinsi dhana ya ... -
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Tambuka: Nadharia Ya Umuundo
(University of Nairobi, 2011) -
Lugha Katika Idara Ya Uhamiaji Nchini Kenya:mfano Wa Idara Ya Uhamiaji Mombasa
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulihusu uchunguzi wa lugha yamazungumzo katika Jdara ya Uhamiaji nchini Kenya. Ni utafiti uliokuwa na malengo mawili ambayo ni; kubainisha aina za sentensi zinazotumika katika mazungumzo katika Jdara ya ... -
Uchanganuzi Wakiisimu -matini wamsimuwa Tisa
(University of Nairobi, 2008)Tasnifu hii imeshughulikia uchanganuzi wa kiisimu-matini wa diwani ya Msimu wa Tisa kwa kujikita katika dhana za muala na mshikamano. Uchanganuzi huu umefanywa kwa kufuata mwelekeo wa kinadharia wa muala wa Halliday na ...